COASTAL, SIMBA SC ZATOKA SARE YA 0-0
![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*XfNVsz9OTx*J1wL7AA8xolIFusbgIOofOy2AZiw8Z*zYVJLdpgkCUk9Hh68WEfYMlScp1K7fv3V3CfZoWFqDGE/A.jpg?width=650)
Kipa wa Coastal Union, Shaaban Kado akidaka mpira mbele ya beki wake, Tumba Swedi ambaye yuko mbele ya mshambuliaji wa Simba SC, Dan Sserunkuma. COASTAL UNION wamegoma kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, baada ya jioni ya leo kulazimisha sare ya 0-0 na Simba SC Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Hakukuwa na mchezo wa kuvutia sana kutokana na timu zote kucheza mipira mirefu kwa kuhofia ubovu wa Uwanja wa Mkwakwani, lakini...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9wCgdwCTS7c/VnbT6P9Qt7I/AAAAAAABl4U/Wy_V--QWD-Y/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24%2BDesemba%2B21.jpg)
COASTAL UNION, JKT RUVU ZATOKA SARE YA 2-2
![](http://3.bp.blogspot.com/-9wCgdwCTS7c/VnbT6P9Qt7I/AAAAAAABl4U/Wy_V--QWD-Y/s640/Picha%2Bya%2BPg.24%2BDesemba%2B21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x7Eo5ne5Lu8/VnbVkFnBkgI/AAAAAAABl4o/LactEJZxKjw/s640/_MG_2536.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I8fvMp-o_HI/VnbVrJRrevI/AAAAAAABl40/_V9_tvHa8Uw/s640/_MG_2588.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OSVt7Sz3sH8/VnbVuzrvXvI/AAAAAAABl48/1pyov-Hr4xI/s640/_MG_2620.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Feb
COASTAL, SIMBA SC ZATOKA SULUHU
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*XfNVsz9OTx*J1wL7AA8xolIFusbgIOofOy2AZiw8Z*zYVJLdpgkCUk9Hh68WEfYMlScp1K7fv3V3CfZoWFqDGE/A.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*UIcSHHbGDShTpF4j1gz6jqjJ3iR*Q6uVC6fGfeQ4GFpV-TvgUUSnoil9*vxqpOuuahh1oV9U*HHJmCO-taRVwd/F.jpg?width=650)
COASTAL UNION wamegoma kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, baada ya jioni ya leo kulazimisha sare ya 0-0 na Simba SC Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Hakukuwa na mchezo wa kuvutia sana kutokana na timu zote kucheza mipira...
10 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uuReDbJrg0s/VZgewh7j5II/AAAAAAABkOQ/Nldp6fS8gYU/s72-c/Kikosi%2Bcha%2BStars%2Bkilichoanza%2Bleo%2Bdhidi%2Bya%2BUganda.jpg)
STARS NA UGANDA ZATOKA SARE 1-1 NAKIVUBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-uuReDbJrg0s/VZgewh7j5II/AAAAAAABkOQ/Nldp6fS8gYU/s640/Kikosi%2Bcha%2BStars%2Bkilichoanza%2Bleo%2Bdhidi%2Bya%2BUganda.jpg)
Na Baraka Kizuguto, KAMPALATANZANIA imetupwa nje ya michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda.Matokeo hayo yanamaanisha, Stars imetolewa kwa kipigo cha jumla cha mabao 4-1, baada ya awali kufungwa 3-0 katika mchezo wa kwanza wa Raundi hiyo ya kwanza visiwani Zanzibar wiki mbili zilizopita.Dakika 45 za kwanza zilimalizika kukiwa hakuna timu iliyopata bao na kipindi cha pili na kipindi cha pili, John Bocco ‘Adebayor’...
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h5p2bHM8mNM/XlKk9X6q7nI/AAAAAAALe7g/1I8O22076GQAUq2J0hIfMcbPDSzZckgIwCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...
Yassir Simba, Michuzi Tv
MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.
Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari 23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Man United na Chelsea zatoka sare, matokeo mengine yapo hapa
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Ligi Kuu ya Wingereza jana usiku imeendelea kwa kuchezwa michezo nane katika viwanja tofauti huku mchezo mkubwa uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ni kati ya Manchester United na Chelsea mchezo uliochezwa katika uwanja wa Old Trafford.
Mchezo huo ulisubiriwa na wengi kutokana na hali zilizonazo timu hizo kwa sasa hivyo kuifanya dunia kusubiri mchezo huo kuona nani ataweza kumshinda mwenzake lakini mchezo huo ukaishia kwa sare ya bila kufungana.
Manchester United...
10 years ago
MichuziMWadui FC na Panone FC zatoka sare 1-1 mtanange wa ligi daraja la kwanza mjini moshi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zIuIOPsToCU/U-t3riLmpwI/AAAAAAABFJU/YN3CjQyeldQ/s72-c/DSCN3007.jpg)
Survey Veterani yatoka sare na Coastal union U-20, yawakubali NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-zIuIOPsToCU/U-t3riLmpwI/AAAAAAABFJU/YN3CjQyeldQ/s1600/DSCN3007.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2yJMUoo53Co/U-t35mEFoRI/AAAAAAABFJk/XVf1mPCAiw0/s1600/DSCN3011_1.jpg)
pamoja Wachezaji wa Coastal U 20 kabla ya mechi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-htrLYkOUk2U/U-t3655mi_I/AAAAAAABFJo/Y9S95xDG3tk/s1600/DSCN3016.jpg)
akimtoka mchezaji wa Coastal Union U 20 katika mashindano ya kilele cha nane nanae yaiyofanyika viwanja vya mkwakwani Jijini Tanga.
NA ELIZABETH KILINDI, TANGA
TIMU ya Survey Veteran ya jijini Dar es Salaamu, Jumapili iliyopita ilivuna sare ya bao 1-1 dhidi ya kikosi cha vijana wa chini...