COASTAL UNION, JKT RUVU ZATOKA SARE YA 2-2
![](http://3.bp.blogspot.com/-9wCgdwCTS7c/VnbT6P9Qt7I/AAAAAAABl4U/Wy_V--QWD-Y/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24%2BDesemba%2B21.jpg)
Golikipa wa JKT Ruvu, Shaban Dihile akipishana na mpira uliopigwa na mchezaji wa Coastal Union, Nassoro Kapama katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2. (Picha na Francis Dande)
Issa Ngao (kushoto), akimtoka mchezaji wa Coastal Union ya Tanga.
Hamis Shango (kushoto) akichuana na Chidiebere Abasalim.
Mchezaji wa Coastal Union ya Tanga, Chidiebere Abasalim (katikati) akiwania mpira na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen03 Oct
Coastal Union, JKT Ruvu eye first victories
9 years ago
Habarileo13 Dec
Coastal Union, JKT Ruvu vitani Ligi Kuu leo
TIMU ya Coastal Union na maafande wa JKT Ruvu leo zitakuwa kwenye viwanja viwili tofauti katika muendelezo wa mechi za Ligi Kuu bara. Coastal Union itamkaribisha ndugu yake African Sports kwenye uwanja wa Mkwakwani Tanga huku JKT Ruvu ikiwa mwenyeji wa maafande wenzao wa Prisons Mbeya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*XfNVsz9OTx*J1wL7AA8xolIFusbgIOofOy2AZiw8Z*zYVJLdpgkCUk9Hh68WEfYMlScp1K7fv3V3CfZoWFqDGE/A.jpg?width=650)
COASTAL, SIMBA SC ZATOKA SARE YA 0-0
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h5p2bHM8mNM/XlKk9X6q7nI/AAAAAAALe7g/1I8O22076GQAUq2J0hIfMcbPDSzZckgIwCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...
Yassir Simba, Michuzi Tv
MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.
Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari 23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Ligi ya JKT Ruvu, Coastal
10 years ago
GPLSIMBA YATOKA SARE NA COASTAL UNION TAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zIuIOPsToCU/U-t3riLmpwI/AAAAAAABFJU/YN3CjQyeldQ/s72-c/DSCN3007.jpg)
Survey Veterani yatoka sare na Coastal union U-20, yawakubali NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-zIuIOPsToCU/U-t3riLmpwI/AAAAAAABFJU/YN3CjQyeldQ/s1600/DSCN3007.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2yJMUoo53Co/U-t35mEFoRI/AAAAAAABFJk/XVf1mPCAiw0/s1600/DSCN3011_1.jpg)
pamoja Wachezaji wa Coastal U 20 kabla ya mechi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-htrLYkOUk2U/U-t3655mi_I/AAAAAAABFJo/Y9S95xDG3tk/s1600/DSCN3016.jpg)
akimtoka mchezaji wa Coastal Union U 20 katika mashindano ya kilele cha nane nanae yaiyofanyika viwanja vya mkwakwani Jijini Tanga.
NA ELIZABETH KILINDI, TANGA
TIMU ya Survey Veteran ya jijini Dar es Salaamu, Jumapili iliyopita ilivuna sare ya bao 1-1 dhidi ya kikosi cha vijana wa chini...