Ligi ya JKT Ruvu, Coastal
Ni Ligi Kuu bila Yanga, Simba na Azam, klabu tatu zenye wachezaji wao wengi katika timu ya Taifa , ‘Taifa Stars’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo13 Dec
Coastal Union, JKT Ruvu vitani Ligi Kuu leo
TIMU ya Coastal Union na maafande wa JKT Ruvu leo zitakuwa kwenye viwanja viwili tofauti katika muendelezo wa mechi za Ligi Kuu bara. Coastal Union itamkaribisha ndugu yake African Sports kwenye uwanja wa Mkwakwani Tanga huku JKT Ruvu ikiwa mwenyeji wa maafande wenzao wa Prisons Mbeya.
9 years ago
TheCitizen03 Oct
Coastal Union, JKT Ruvu eye first victories
The two sides are winless after five rounds into the new season
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9wCgdwCTS7c/VnbT6P9Qt7I/AAAAAAABl4U/Wy_V--QWD-Y/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24%2BDesemba%2B21.jpg)
COASTAL UNION, JKT RUVU ZATOKA SARE YA 2-2
![](http://3.bp.blogspot.com/-9wCgdwCTS7c/VnbT6P9Qt7I/AAAAAAABl4U/Wy_V--QWD-Y/s640/Picha%2Bya%2BPg.24%2BDesemba%2B21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x7Eo5ne5Lu8/VnbVkFnBkgI/AAAAAAABl4o/LactEJZxKjw/s640/_MG_2536.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I8fvMp-o_HI/VnbVrJRrevI/AAAAAAABl40/_V9_tvHa8Uw/s640/_MG_2588.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OSVt7Sz3sH8/VnbVuzrvXvI/AAAAAAABl48/1pyov-Hr4xI/s640/_MG_2620.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PBvBvxMVroQ/VPXu6LtKz3I/AAAAAAAHHW4/glmAsdBoamc/s72-c/jerry-muro-massawe.jpg)
Yanga yaishukia bodi ya Ligi,yagomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu
![](http://1.bp.blogspot.com/-PBvBvxMVroQ/VPXu6LtKz3I/AAAAAAAHHW4/glmAsdBoamc/s1600/jerry-muro-massawe.jpg)
Uongozi wa Klabu ya Yanga umeishukia bodi ya Ligi kwa kile walichodai kuwa wamechakachua kanuni kwa kuiruhusu Timu ya Simba kumtumia mchezaji Ibrahimu Hajibu na kuitaka sheria zichukue mkondo wake huku wakigomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu kusogezwa mbele.
Akizungumza kwenye Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Msemaji wa Yanga Jerry Muro amesema Bodi ya Ligi inayumbisha soka la Tanzania kwa kupindisha sheria na kitendo walichofanya ni...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : JKT Ruvu iache kuishi kama Mlima Kilimanjaro
Maisha lazima yabadilike. Wakati mwingine hata jiwe husogea kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Inategemea kama limepigwa teke na mwanadamu, au limetumika kwa kuokotwa na kumrushia ndege aliyekaa katika mti.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania