Coastal Union, JKT Ruvu vitani Ligi Kuu leo
TIMU ya Coastal Union na maafande wa JKT Ruvu leo zitakuwa kwenye viwanja viwili tofauti katika muendelezo wa mechi za Ligi Kuu bara. Coastal Union itamkaribisha ndugu yake African Sports kwenye uwanja wa Mkwakwani Tanga huku JKT Ruvu ikiwa mwenyeji wa maafande wenzao wa Prisons Mbeya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9wCgdwCTS7c/VnbT6P9Qt7I/AAAAAAABl4U/Wy_V--QWD-Y/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24%2BDesemba%2B21.jpg)
COASTAL UNION, JKT RUVU ZATOKA SARE YA 2-2
![](http://3.bp.blogspot.com/-9wCgdwCTS7c/VnbT6P9Qt7I/AAAAAAABl4U/Wy_V--QWD-Y/s640/Picha%2Bya%2BPg.24%2BDesemba%2B21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x7Eo5ne5Lu8/VnbVkFnBkgI/AAAAAAABl4o/LactEJZxKjw/s640/_MG_2536.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I8fvMp-o_HI/VnbVrJRrevI/AAAAAAABl40/_V9_tvHa8Uw/s640/_MG_2588.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OSVt7Sz3sH8/VnbVuzrvXvI/AAAAAAABl48/1pyov-Hr4xI/s640/_MG_2620.jpg)
9 years ago
TheCitizen03 Oct
Coastal Union, JKT Ruvu eye first victories
The two sides are winless after five rounds into the new season
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Ligi ya JKT Ruvu, Coastal
Ni Ligi Kuu bila Yanga, Simba na Azam, klabu tatu zenye wachezaji wao wengi katika timu ya Taifa , ‘Taifa Stars’.
9 years ago
Mwananchi12 Sep
UCHAMBUZI WA LIGI KUU BORA: Coastal Union, wakati wa kukimbia na siyo kutembea
Msimu mwingine kwa Coastal Union. Wagosi wa Kaya. Maisha yanataka nini zaidi kwao? Wameendelea kuwepo katika Ligi Kuu wakipunga upepo na msimu uliopita walishika nafasi ya tano. Coastal wanarudi katika msimu mwingine wakiwa na matumaini mapya zaidi.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : JKT Ruvu iache kuishi kama Mlima Kilimanjaro
Maisha lazima yabadilike. Wakati mwingine hata jiwe husogea kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Inategemea kama limepigwa teke na mwanadamu, au limetumika kwa kuokotwa na kumrushia ndege aliyekaa katika mti.
10 years ago
Michuzi07 Sep
COASTAL UNION YAPATA MAPOKEZI MAKUBWA JIJINI TANGA IKITOKEA PEMBA ILIKOWEKA KAMBI KUJIANDAA NA LIGI KUU
Askari wa usalama barabarani akiongoza msururu wa mashabiki wa Coastal Union ilipowasili jijini Tanga ikitokea Pemba ilikoweka kambi ya mwezi mzima kujiandaa na ligi kuu ya VODACOM
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania