MWadui FC na Panone FC zatoka sare 1-1 mtanange wa ligi daraja la kwanza mjini moshi
Wachezaji wa timu ya Mwadui FC, wakishangilia goli lililofungwa na Bakari Kigodeko, katika mchezo wa ligi daraja la kwanza dhidi ya Panone FC, uliofanyika kwenye Dimba la Ushirika, mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. mchezo huo ulimalizika kwa sare ya 1-1.
Sehemu ya mashabiki waliojitokeza kwenye dimba la Ushirika, wakifuatilia mchezo kati ya Mwadui na Panone.
Mashabiki wa Panone wakishangilia goli la kusawazisha lililopatikana katika dakika ya 16 ya kipindi cha kwanza, likifungwa na Tony...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qdAxuUIuack/U42WJI453FI/AAAAAAAAEXA/V2J01VMtdVs/s72-c/10155545_1479238618975021_8798127732665098925_n.jpg)
PANONE FC YA MKOANI KILIMANJARO YATINGA LIGI DARAJA LA KWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-qdAxuUIuack/U42WJI453FI/AAAAAAAAEXA/V2J01VMtdVs/s1600/10155545_1479238618975021_8798127732665098925_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pkogSSdIWno/U42XyeAtm7I/AAAAAAAAEYY/-Pua1UwZW9k/s1600/10341435_755676544466972_2625214017281024122_n.jpg)
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1
11 years ago
MichuziPANONE FC YA KILIMANJARO ILIVYOTANGAZWA BINGWA WA MKOA LIGI DARAJA LA TATU
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...
10 years ago
Mwananchi08 Dec
‘First 11 ya Simba’ Ligi Daraja la Kwanza
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MAFUTA YA PANONE YAWAKUMBUKA WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA GABRIELA CHA MJINI MOSHI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Habarileo01 Jan
Ligi Daraja la Kwanza kuendelea kesho
VINARA wa kundi A kwenye ligi daraja la kwanza, Ashanti United watashuka uwanjani kesho kuikabili Polisi Dodoma kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo02 Jan
Ligi daraja la kwanza yazidi kunoga
LIGI daraja la kwanza inatarajiwa kuendelea tena leo kwa michezo tisa katika viwanja tofauti. Ashanti United itamenyana na Polisi Dodoma kwenye uwanja wa Karume Dar es Salaam, mechi inayotarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kutokana na timu hizo kuachana kwa mbali kwenye msimamo kwenye kundi A.
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Vurugu Ligi Daraja la Kwanza zikomeshwe