PANONE FC YA KILIMANJARO ILIVYOTANGAZWA BINGWA WA MKOA LIGI DARAJA LA TATU
Wachezaji wa timu ya Panone FC ya mkoani Kilimanjaro wakipasha misuli joto kabla ya mchezo wao wa kukamilisha ratiba dhidi ya waliokuwa mabingwa wa mkoa watetezi timu ya Machava Fc.
Wachezaji wa timu za Panone fc na Machava fc wakisalimiana kabla ya kuanza kwa mchezo wao wa kukamilisha ratiba.
Wachezaji wa Panone fc wakiomba dua kabla ya kuanza kwa mchezo.
Wachezaji wa timu ya Machava fc wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa mchezo.
Waaamuzi wa mchezo huo tayari kwa kuanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qdAxuUIuack/U42WJI453FI/AAAAAAAAEXA/V2J01VMtdVs/s72-c/10155545_1479238618975021_8798127732665098925_n.jpg)
PANONE FC YA MKOANI KILIMANJARO YATINGA LIGI DARAJA LA KWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-qdAxuUIuack/U42WJI453FI/AAAAAAAAEXA/V2J01VMtdVs/s1600/10155545_1479238618975021_8798127732665098925_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pkogSSdIWno/U42XyeAtm7I/AAAAAAAAEYY/-Pua1UwZW9k/s1600/10341435_755676544466972_2625214017281024122_n.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Panone FC yaongoza ligi Kilimanjaro
TIMU ngeni katika Ligi Daraja la Tatu ngazi ya Mkoa wa Kilimanjaro, Panone FC, hadi sasa inaongoza ligi hiyo ikiwa imejikusanyia pointi sita baada ya kushuka dimbani mara mbili. Panone...
10 years ago
MichuziMWadui FC na Panone FC zatoka sare 1-1 mtanange wa ligi daraja la kwanza mjini moshi
11 years ago
MichuziPANONE FC WAFANYIWA SHEREHE BAADA YA KUTWAA UBINGWA WA MKOA WA KILIMANJARO
kuwapongeza wachezaji wa Panone fc.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
9 years ago
StarTV18 Dec
Ligi Daraja La Tatu Morogoro Makocha walalamikia ratiba.
Kivumbi cha ligi daraja la tatu ngazi ya Mkoa Morogoro kinatarajiwa kufikia tamati ijumaa hii, huku viwanja viwili vya Sabasaba na Jamhuri vikitarajia kuwaka Moto pale timu za Mawenzi, Nyamvisi FC, Moro Kids na Kizuka Star, zitakaposhuka dimbani kupambana.
Licha ya ligi hiyo kuanza kwa kasi katika vituo vitatu tofauti, baadhi ya makocha wa vilabu vinavyoshiriki michuano hiyo wamelalamikia ratiba ya michuano hiyo kuwa inawabana kutokana na siku moja kuchezwa michezo miwili kutika uwanja...
10 years ago
MichuziPANONE FC ILIVYOPOKEA UGENI WA REAL MADRID KILIMANJARO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Habarileo14 Dec
Makalla amtaka Minziro kuipeleka Panone Ligi Kuu
MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla amemtaka kocha mkuu wa timu ya daraja la kwanza ya Panone Fc, Fred Minziro kuandaa timu yake vyema ili kucheza Ligi Kuu.
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b-ZzS2Hz--Y/VlFP4DcTRpI/AAAAAAAAW1A/SRUNzvwSg6o/s72-c/IMG_9462%2B%25281024x683%2529.jpg)
PANONE FC YASONGA MBELE LIGI YA SHIRIKISHO YA AZAM,YAIFUNGA POLISI DAR ES SALAAM BAO 2 KWA 1
![](http://4.bp.blogspot.com/-b-ZzS2Hz--Y/VlFP4DcTRpI/AAAAAAAAW1A/SRUNzvwSg6o/s640/IMG_9462%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T77aPgRxA4c/VlFPja-YJCI/AAAAAAAAWz4/Ft2yj5Pcows/s640/IMG_9448%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rXyCf9V6o_E/VlFPmF9waRI/AAAAAAAAW0A/MLjyfB0uPzM/s640/IMG_9449%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--VvQv1ffpZQ/VlFO84aIXHI/AAAAAAAAWxM/fBkVRhl4tCQ/s640/IMG_9411%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Noq-K35Gg5Q/VlFO9vSSO3I/AAAAAAAAWxU/LBAss3UePAw/s640/IMG_9412%2B%25281024x683%2529.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA