Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PANONE FC WAFANYIWA SHEREHE BAADA YA KUTWAA UBINGWA WA MKOA WA KILIMANJARO

Wachezaji wa timu ya Panone fc wakisalimia mara baada ya kutambulishwa wakati wa hafla ya kuwapongeza baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa mkoa. Katibu wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro Mohamed Musa akizungumza jambo wakati wa hafla ya kuwapongeza wachezaji wa timu ya Panone fc mara baada ya kutwaa ubingwa wa mkoa wa Kilimanjaro. Mwamuzi Hafidh Mshery akisalimia  wakati wa hafla ya
kuwapongeza wachezaji wa Panone fc.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

PANONE FC YA KILIMANJARO ILIVYOTANGAZWA BINGWA WA MKOA LIGI DARAJA LA TATU

Wachezaji wa timu ya Panone FC ya mkoani Kilimanjaro wakipasha misuli joto kabla ya mchezo wao wa kukamilisha ratiba dhidi ya waliokuwa mabingwa wa mkoa watetezi timu ya Machava Fc. Wachezaji wa timu za Panone fc na Machava fc wakisalimiana kabla ya kuanza kwa mchezo wao wa kukamilisha ratiba. Wachezaji wa Panone fc wakiomba dua kabla ya kuanza kwa mchezo. Wachezaji wa timu ya Machava fc wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa mchezo. Waaamuzi wa mchezo huo tayari kwa kuanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Panone FC yaongoza ligi Kilimanjaro

TIMU ngeni katika Ligi Daraja la Tatu ngazi ya Mkoa wa Kilimanjaro, Panone FC, hadi sasa inaongoza ligi hiyo ikiwa imejikusanyia pointi sita baada ya kushuka dimbani mara mbili. Panone...

 

9 years ago

BBCSwahili

Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa

Bondia Muingereza,Tyson Fury alimtamausha mshikilizi wa mataji tatu ya uzani mzito duniani Vladimir Klitschko na kutwaa ubingwa wa dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

Shahanga: Nilikaribia kutwaa ubingwa wa dunia

Mwaka 1983 mwanariadha wa Tanzania, Gidamis Shahanga alikamata nafasi ya tano katika mashindano ya riadha ya dunia yaliyofanyika huko Helsinki, Finland. Shahanga alishika nafasi hiyo baada ya kukimbia mbio za mita 10,000 kwa kutumia dakika 28:01:93.

 

11 years ago

Mwananchi

Nditi aisaidia Chelsea kutwaa ubingwa

>Kiungo Mtanzania anayekipiga katika klabu ya Chelsea, Adam Nditi, ameisaidia Chelsea kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya vijana chini ya miaka 21 nchini England baada ya kuitandika Manchester United mabao 2-1.

 

10 years ago

Michuzi

Yanga noma yabakisha pointi 3 kutwaa ubingwa


Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akimpiga kanzu mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulahman Musa, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 5-0.
 Timu zikiingia uwanjani.


 Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akiwatoka wachezaji wa Ruvu Shooting. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Mwananchi

Goran: Saa 456 za Simba kutwaa ubingwa

Kocha wa Simba, Goran Kuponovic amesema bado kuna saa456 za timu yake kupigana na kuhakikisha anachukua ubingwa wa LigiKuu Tanzania Bara msimu huu.

 

10 years ago

Michuzi

PANONE FC ILIVYOPOKEA UGENI WA REAL MADRID KILIMANJARO

Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Dk Fenera Mkangara akiongoza ugeni toka klabu ya Real Madrid ulipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA.)
Baadhi ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid wakiwasili katika uwanja wa Ndege wa KIA .

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani