Makalla amtaka Minziro kuipeleka Panone Ligi Kuu
MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla amemtaka kocha mkuu wa timu ya daraja la kwanza ya Panone Fc, Fred Minziro kuandaa timu yake vyema ili kucheza Ligi Kuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Panone FC yaongoza ligi Kilimanjaro
TIMU ngeni katika Ligi Daraja la Tatu ngazi ya Mkoa wa Kilimanjaro, Panone FC, hadi sasa inaongoza ligi hiyo ikiwa imejikusanyia pointi sita baada ya kushuka dimbani mara mbili. Panone...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qdAxuUIuack/U42WJI453FI/AAAAAAAAEXA/V2J01VMtdVs/s72-c/10155545_1479238618975021_8798127732665098925_n.jpg)
PANONE FC YA MKOANI KILIMANJARO YATINGA LIGI DARAJA LA KWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-qdAxuUIuack/U42WJI453FI/AAAAAAAAEXA/V2J01VMtdVs/s1600/10155545_1479238618975021_8798127732665098925_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pkogSSdIWno/U42XyeAtm7I/AAAAAAAAEYY/-Pua1UwZW9k/s1600/10341435_755676544466972_2625214017281024122_n.jpg)
11 years ago
MichuziPANONE FC YA KILIMANJARO ILIVYOTANGAZWA BINGWA WA MKOA LIGI DARAJA LA TATU
10 years ago
MichuziMWadui FC na Panone FC zatoka sare 1-1 mtanange wa ligi daraja la kwanza mjini moshi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b-ZzS2Hz--Y/VlFP4DcTRpI/AAAAAAAAW1A/SRUNzvwSg6o/s72-c/IMG_9462%2B%25281024x683%2529.jpg)
PANONE FC YASONGA MBELE LIGI YA SHIRIKISHO YA AZAM,YAIFUNGA POLISI DAR ES SALAAM BAO 2 KWA 1
![](http://4.bp.blogspot.com/-b-ZzS2Hz--Y/VlFP4DcTRpI/AAAAAAAAW1A/SRUNzvwSg6o/s640/IMG_9462%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T77aPgRxA4c/VlFPja-YJCI/AAAAAAAAWz4/Ft2yj5Pcows/s640/IMG_9448%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rXyCf9V6o_E/VlFPmF9waRI/AAAAAAAAW0A/MLjyfB0uPzM/s640/IMG_9449%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--VvQv1ffpZQ/VlFO84aIXHI/AAAAAAAAWxM/fBkVRhl4tCQ/s640/IMG_9411%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Noq-K35Gg5Q/VlFO9vSSO3I/AAAAAAAAWxU/LBAss3UePAw/s640/IMG_9412%2B%25281024x683%2529.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...