Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ligi daraja la kwanza yazidi kunoga

LIGI daraja la kwanza inatarajiwa kuendelea tena leo kwa michezo tisa katika viwanja tofauti. Ashanti United itamenyana na Polisi Dodoma kwenye uwanja wa Karume Dar es Salaam, mechi inayotarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kutokana na timu hizo kuachana kwa mbali kwenye msimamo kwenye kundi A.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

9 years ago

Habarileo

Ashanti yazidi kung’ara daraja la kwanza

TIMU ya soka ya Ashanti United jana iliifanyia kitu mbaya Polisi Dodoma baada ya kuchapa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Karume Ilala Dar es Salaam. Dalili za Ashanti kushinda zilionekana tangu mwanzo kwani ilitawala mchezo karibu maeneo yote.

 

9 years ago

Habarileo

Madini yazidi kutesa ligi daraja la pili Arusha

TIMU ya soka ya Madini ya Arusha juzi iliendelea kuutumia vema uwanja wake wa nyumbani wa Mwalimu Nyerere uliopo wilayani Mbulu mkoani Manyara baada ya kuifunga Pamba ya Mwanza magoli 2-0 katika mchezo mkali wa ligi daraja la pili ngazi ya taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

‘First 11 ya Simba’ Ligi Daraja la Kwanza

Ligi Kuu Bara na Ligi Daraja la Kwanza zimesimama ili kupisha mashindano ya Chalenji, mashindano ya Uhai na dirisha dogo la usajili ambalo litafungwa Desemba 15.

 

10 years ago

Mwananchi

Vurugu Ligi Daraja la Kwanza zikomeshwe

Ligi Daraja la Kwanza msimu huu imetawaliwa na vurugu ambazo hazionekani kukoma wala hakuna hatua zinazoonekana kuchukuliwa na wahusika kukomesha vurugu hizo.

 

9 years ago

Habarileo

Ligi Daraja la Kwanza kuendelea kesho

VINARA wa kundi A kwenye ligi daraja la kwanza, Ashanti United watashuka uwanjani kesho kuikabili Polisi Dodoma kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Mapato Ligi Daraja la Kwanza yazua utata

Bodi ya Ligi Kuu nchini imeshindwa kutangaza mapato yaliyopatikana kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi Daraja la Kwanza kutokana na baadhi ya vituo kuchelewa kuwasilisha taarifa za mapato.

 

10 years ago

Mwananchi

Kimondo, Villa hapatoshi ligi daraja la kwanza

Pazia la Ligi Daraja la Kwanza (FDL), linafunguliwa rasmi leo kwenye viwanja tisa tofauti katika miji ya Moshi, Arusha, Musoma, Mwanza, Geita, Mbozi, Songea, Mufindi na Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Ligi Daraja la Kwanza kunguruma wikiendi hii

LIGI Daraja la Kwanza chini (FDL) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo 12 kuchezwa katika viwanja mbalimbali kutoka katika makundi yote matatu ya A, B, na C.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani