Coastal, Polisi Morogoro vitani kesho Mkwakwani
KLABU ya Coastal Union ya hapa, kesho imepanga kufanya utambulisho wa nyota wake kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania bara itakayoanza Septemba 20. Utambulisho huo unaofahamika kama ‘Coastal...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
Coastal Union yajifua kuikabili Polisi Morogoro
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
COASTAL YAIPIGIA HESABU PRISON, YAWEKA MIPANGO YA KUHAKIKISHA POINTI TATU ZINABAKI MKWAKWANI
Timu ya Coastal Union imeanza kuzipigia hesabu pointi tatu muhimu za wapinzani wao Tanzania Prison ili kuweza kuhakikisha wanazichukua wakati watakapokutana kwenye mechi ya Ligi kuu Tanzania bara.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa wikiendi hii kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni mzunguko wa pili wa ligi hiyo ikielekea lala salama.
Akizungumza leo mara baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu hiyo yanayo endelea kwenye viwanja vya shule ya sekondari Popatlaly mjini...
10 years ago
Vijimambo
MKUTANO MKUU WA DHARURA WA WANACHAMA COASTAL UNION KUFANYIKA KESHO JUMAPILI KWENYE UKUMBI WA BWALO LA POLISI MKOANI TANGA.

10 years ago
Michuzi
MKUTANO MKUU WA DHARURA WA WANACHAMA COASTAL UNION KUFANYIKA KESHO JUMAPILI KWENYE UKUMBI WA BWALO LA POLISI MKOANI HAPA.

9 years ago
Habarileo13 Dec
Coastal Union, JKT Ruvu vitani Ligi Kuu leo
TIMU ya Coastal Union na maafande wa JKT Ruvu leo zitakuwa kwenye viwanja viwili tofauti katika muendelezo wa mechi za Ligi Kuu bara. Coastal Union itamkaribisha ndugu yake African Sports kwenye uwanja wa Mkwakwani Tanga huku JKT Ruvu ikiwa mwenyeji wa maafande wenzao wa Prisons Mbeya.
11 years ago
MichuziMABONDIA KUZIPIGA KESHO JUMAPILI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
11 years ago
Michuzi
wapiganaji wa morogoro wakiwa vitani

10 years ago
Habarileo27 Oct
Simba hasira zote kwa Coastal kesho
KOCHA wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr amesema kambi yao ya Lushoto mkoani Tanga itakuwa na tija kwenye mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.