Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


COASTAL YAIPIGIA HESABU PRISON, YAWEKA MIPANGO YA KUHAKIKISHA POINTI TATU ZINABAKI MKWAKWANI

NA MWANDISHI WETU, TANGA.
Timu ya Coastal Union imeanza kuzipigia hesabu pointi tatu muhimu za wapinzani wao Tanzania Prison ili kuweza kuhakikisha wanazichukua wakati watakapokutana kwenye mechi ya Ligi kuu Tanzania bara.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa wikiendi hii kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni mzunguko wa pili wa ligi hiyo ikielekea lala salama.
Akizungumza leo mara baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu hiyo yanayo endelea kwenye viwanja vya shule ya sekondari Popatlaly mjini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Azam yaipigia hesabu Yanga

KLABU ya Azam FC, imejiwekea malengo ya kushinda mechi zake mbili za Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zitakazochezwa siku tano zijazo kwenye uwanja wa Chamazi Complex Mbagala Dar es Salaam.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Coastal, Polisi Morogoro vitani kesho Mkwakwani

KLABU ya Coastal Union ya hapa, kesho imepanga kufanya utambulisho wa nyota wake kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania bara itakayoanza Septemba 20. Utambulisho huo unaofahamika kama ‘Coastal...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yaweka taratibu za kuzingatia ili kuhakikisha kunakuwa na wamiliki halali wa laini za simu

tcra2

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Mwanadamu ameumbwa na kuzaliwa akiwa na asili ya kuwa na uwezo na upeo unaomuwezesha kuwasiliana baina ya mtu na mtu kunzia ngazi ya familia, jamii inayomzunguka, taifa na hatimaye ulimwengu mzima.

Akiwa na mamlaka ya kutumia mawasiliano katika maisha yake ya kila siku, mwanadamu anayatumia mawasiliano hayo kama mchakato wa kuhamisha na kupashana taarifa ama habari kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa nyakati tofauti tofauti.

Mchakato huo wa mawasiliano unaweza...

 

10 years ago

Michuzi

COASTAL UNION WAANZA KUIPIGIA HESABU AZAM FC

Na Ripota Maalum,Tanga
TIMU ya Coastal Union imewasilia jijini Tanga ikiwa na mikakati mizito ya kuhakikisha inawanyamazisha wapinzani wao Azam FC ikiwa ni muendelezo wa Michuano ya Ligi kuu soka Tanzania bara mchezo unaotarajiwa kucheza kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wikiendi ijayo.Akizungumza leo na waandishi wa habari, Ofisa Habari wa Coastal Union,Oscar Assenga amesema kuwa sasa nguvu zao watazielekeza kwenye mchezo huo utakaochezwa kwenye mjini hapa.Amesema kuwa dhamira yake aliyoipanga...

 

10 years ago

Mwananchi

Pointi tatu kuitoa roho Simba SC

Ni vita kwa Simba iliyo katika nafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 16 inaposaka ushindi na pointi tatu leo dhidi ya Coastal Union ya Tanga ili ipande kwa mara ya kwanza na kuingia tatu bora.

 

11 years ago

GPL

POINTI TATU ZA UBINGWA TAIFA LEO

Kikosi cha timu ya Yanga SC. Na Khadija Mngwai
TIMU za Yanga na Azam FC, zimetangaziana vita katika mchezo wa leo zitakapokutana kwenye Dimba la Taifa jijini Dar. Yanga na Azam zinashuka dimbani leo ukiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili wa ligi kuu ambapo kila timu inahitaji kutwaa ubingwa mwisho wa msimu ambapo Azam inaongoza ligi kwa kuwa na pointi 43 huku Yanga ikiwa na pointi 39, ikiwa na mchezo mmoja mkononi.… ...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Yanga yapata pointi tatu muhimu

BAADA ya mchezo wa ufunguzi kupata kichapo cha mabao 2-1, kutoka kwa Gor Mahia ya Kenya, Yanga jana imepata ushindi wake wa kwanza wa michuano ya Kagame baada ya kuifunga mabao 3-0, Telecom ya Djibout katika muendelezo wa michuano hiyo jijini Dar es Salaam.

Mabao ya Yanga yaliwekwa kimiani na mshambuliaji Malimi Busungu aliyefunga mabao mawili dakika ya 26 na 61, na Geofrey Mwashiuya dakika ya 72, ambaye aliingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Simon Msuva.

Katika mchezo huo...

 

11 years ago

GPL

Pointi tatu za heshima Bara leo

Wachezaji wa timu ya Yanga SC. Sweetbert Lukonge na Richard Bukos,Tanga
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga, watashuka dimbani ugenini kuivaa Coastal Union katika mchezo mkali utakaopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, leo Jumatano. Mchezo huo ndiyo utakaovuta hisia kwa mashabiki wengi kati ya mechi nyingi zitakazopigwa leo, hasa ikikumbukwa kuwa katika mchezo wa mzunguko wa kwanza, timu hizo zilitoka sare ya 1-1 kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkwabi: Pointi tatu muhimu Simba

MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa klabu ya Simba, Swedi Nkwabi, amezindua rasmi kampeni zake huku kubwa ikiwa ni pointi tatu ndiyo sababu ya kuwania nafasi hiyo. Swedi, mgombea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani