Azam yaipigia hesabu Yanga
KLABU ya Azam FC, imejiwekea malengo ya kushinda mechi zake mbili za Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zitakazochezwa siku tano zijazo kwenye uwanja wa Chamazi Complex Mbagala Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Simba SC yazipigia hesabu Azam, Yanga
TIMU ya Simba imeanza kufufua matumaini ya kuwania taji la Ligi Kuu
Tanzania Bara baada ya jana kuifunga Ndanda FC bao 1-0 katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mjini hapa.
Katika mchezo huo uliokuwa na upinzani wa aina yake, umeiwezesha Simba kuwakaribia Azam na Yanga walio juu katika msimamo wa ligi hiyo.
Katika mchezo huo Simba walikuwa wa kwanza kufika lango la Ndanda na dakika ya tatu Hamis Kiiza alipoteza nafasi ya kufunga.
Ndanda walijibu mapigo baada ya Salvatory Ntebe, kushindwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EJZqa8q3ZXs/VR0htNSsd4I/AAAAAAAHO58/pRt-ucqvRRM/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
COASTAL YAIPIGIA HESABU PRISON, YAWEKA MIPANGO YA KUHAKIKISHA POINTI TATU ZINABAKI MKWAKWANI
Timu ya Coastal Union imeanza kuzipigia hesabu pointi tatu muhimu za wapinzani wao Tanzania Prison ili kuweza kuhakikisha wanazichukua wakati watakapokutana kwenye mechi ya Ligi kuu Tanzania bara.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa wikiendi hii kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni mzunguko wa pili wa ligi hiyo ikielekea lala salama.
Akizungumza leo mara baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu hiyo yanayo endelea kwenye viwanja vya shule ya sekondari Popatlaly mjini...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr5zfo6IeM4/VQbu8C2l2FI/AAAAAAAHKvY/EUu7FPiuGn4/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
COASTAL UNION WAANZA KUIPIGIA HESABU AZAM FC
TIMU ya Coastal Union imewasilia jijini Tanga ikiwa na mikakati mizito ya kuhakikisha inawanyamazisha wapinzani wao Azam FC ikiwa ni muendelezo wa Michuano ya Ligi kuu soka Tanzania bara mchezo unaotarajiwa kucheza kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wikiendi ijayo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr5zfo6IeM4/VQbu8C2l2FI/AAAAAAAHKvY/EUu7FPiuGn4/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Yanga yacheza na hesabu shy
KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amepiga hesabu kali kuelekea mechi mbili zijazo mkoani Shinyanga dhidi ya Mwadui kesho naKagera Sugar mchezo utakaofanyika Jumamosi ijayo.
Mholanzi huyo amesisitiza kuwa pointi sita zote ni muhimu kwake katika mechi hizo, ikizingatiwa yakuwa wanawania kutetea taji lao la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL).
Pluijm aliliambia MTANZANIA kuwa wanatarajia ugumu kwenye mechi hizo, lakini wamejipanga kupata matokeo mazuri ili kuendeleza kasi yao ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s72-c/b1.jpg)
PPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s640/b1.jpg)
Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s72-c/unnamed.jpg)
KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dxcZvVkq42E/VEkVgfeuyaI/AAAAAAAGs-s/dVCHYTLPBPc/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-usPECnflLmA/VBIE1as0jQI/AAAAAAAGjBE/rxDMkdTYiPg/s72-c/altAts0gniS0XylQNQ95-oCFPzTLcIJTlj0iMLpNH_QfnoH%5B1%5D.jpg)
tantrade yaipigia jeki JBC mpakani tunduma
![](http://1.bp.blogspot.com/-usPECnflLmA/VBIE1as0jQI/AAAAAAAGjBE/rxDMkdTYiPg/s1600/altAts0gniS0XylQNQ95-oCFPzTLcIJTlj0iMLpNH_QfnoH%5B1%5D.jpg)
Bw Edwin Rutageruka, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara ya Ndani, Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), akikabidhi Kompyuta, Vifaa vya Ofisi na Samani kwa Bw.Raymond Mwanisawa, Mwenyekiti wa Kamati ya Ushirikiano Mpakani (JBC) Tunduma ambaye pia ni Mkuu wa Kituo cha Tunduma cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Vifaa hivi ni kwa ajili ya kuimarisha ufanisi wa kupitisha mizigo na kupata taarifa za biashara Mipakani. Tukio hili lilifanyika tarehe 10 September 2014...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.