Yanga yacheza na hesabu shy
KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amepiga hesabu kali kuelekea mechi mbili zijazo mkoani Shinyanga dhidi ya Mwadui kesho naKagera Sugar mchezo utakaofanyika Jumamosi ijayo.
Mholanzi huyo amesisitiza kuwa pointi sita zote ni muhimu kwake katika mechi hizo, ikizingatiwa yakuwa wanawania kutetea taji lao la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL).
Pluijm aliliambia MTANZANIA kuwa wanatarajia ugumu kwenye mechi hizo, lakini wamejipanga kupata matokeo mazuri ili kuendeleza kasi yao ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Dec
Azam yaipigia hesabu Yanga
KLABU ya Azam FC, imejiwekea malengo ya kushinda mechi zake mbili za Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zitakazochezwa siku tano zijazo kwenye uwanja wa Chamazi Complex Mbagala Dar es Salaam.
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Simba SC yazipigia hesabu Azam, Yanga
TIMU ya Simba imeanza kufufua matumaini ya kuwania taji la Ligi Kuu
Tanzania Bara baada ya jana kuifunga Ndanda FC bao 1-0 katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mjini hapa.
Katika mchezo huo uliokuwa na upinzani wa aina yake, umeiwezesha Simba kuwakaribia Azam na Yanga walio juu katika msimamo wa ligi hiyo.
Katika mchezo huo Simba walikuwa wa kwanza kufika lango la Ndanda na dakika ya tatu Hamis Kiiza alipoteza nafasi ya kufunga.
Ndanda walijibu mapigo baada ya Salvatory Ntebe, kushindwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s72-c/b1.jpg)
PPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s640/b1.jpg)
Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
CCM yacheza shere rasimu ya katiba
SHERE ni ujanja anaofanyiwa mtu bila ya yeye kutambua. Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameteua watu 27 miongoni mwa wabunge kadhaa kuunda Kamati ya Mashauriano ili kukabiliana...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s72-c/unnamed.jpg)
KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dxcZvVkq42E/VEkVgfeuyaI/AAAAAAAGs-s/dVCHYTLPBPc/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
RC Shy afunga mgodi
Na Chibura Makorongo, Shinyanga
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga, amesitisha shughuli za uchimbaji madini ya dhahabu katika machimbo madogo ya Kaole yaliyopo Kata ya Lunguyu wilayani Msalala.
Alisema ameamua kusitisha kwa muda shughuli za uchimbaji kwa ajili ya kupisha timu ya watalamu kutoka mgodi wa dhahabu Bulyanhulu kuendelea na kazi ya kutafuta watu wengine waliofukiwa na kifusi.
Rufunga alitoa amri hiyo alipokuwa akizungumza na wananchi katika machimbo ya Kalole, ambapo aliwapa...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Shy-Rose akaangwa
HOJA binafsi ya kumjadili mbunge Shy-Rose Bhanji wa Tanzania ndani ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limeingia katika sura mpya baada bunge hilo kuahirishwa tena jana muda mfupi...
11 years ago
TheCitizen27 Jul
Teachers shy away from military training