Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yacheza na hesabu shy

Yanga-leo-72KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amepiga hesabu kali kuelekea mechi mbili zijazo mkoani Shinyanga dhidi ya Mwadui kesho naKagera Sugar mchezo utakaofanyika Jumamosi ijayo.

Mholanzi huyo amesisitiza kuwa pointi sita zote ni muhimu kwake katika mechi hizo, ikizingatiwa yakuwa wanawania kutetea taji lao la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL).

Pluijm aliliambia MTANZANIA kuwa wanatarajia ugumu kwenye mechi hizo, lakini wamejipanga kupata matokeo mazuri ili kuendeleza kasi yao ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Azam yaipigia hesabu Yanga

KLABU ya Azam FC, imejiwekea malengo ya kushinda mechi zake mbili za Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zitakazochezwa siku tano zijazo kwenye uwanja wa Chamazi Complex Mbagala Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mtanzania

Simba SC yazipigia hesabu Azam, Yanga

simbaTIMU ya Simba imeanza kufufua matumaini ya kuwania taji la Ligi Kuu

Tanzania Bara baada ya jana kuifunga Ndanda FC bao 1-0 katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mjini hapa.

Katika mchezo huo uliokuwa na upinzani wa aina yake, umeiwezesha Simba kuwakaribia Azam na Yanga walio juu katika msimamo wa ligi hiyo.
Katika mchezo huo Simba walikuwa wa kwanza kufika lango la Ndanda na dakika ya tatu Hamis Kiiza alipoteza nafasi ya kufunga.

Ndanda walijibu mapigo baada ya Salvatory Ntebe, kushindwa...

 

9 years ago

Michuzi

PPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII


Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yacheza shere rasimu ya katiba

SHERE ni ujanja anaofanyiwa mtu bila ya yeye kutambua. Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameteua watu 27 miongoni mwa wabunge kadhaa kuunda Kamati ya Mashauriano ili kukabiliana...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2013 kwa Shirika la Bima la Taifa (NIC) baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).
Mbunge wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Ismail Rage akichangia mada wakati wa kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

RC Shy afunga mgodi


Na Chibura Makorongo, Shinyanga
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga, amesitisha shughuli za uchimbaji madini ya dhahabu katika machimbo madogo ya Kaole yaliyopo Kata ya Lunguyu wilayani Msalala.
Alisema ameamua kusitisha kwa muda shughuli za uchimbaji kwa ajili ya kupisha timu ya watalamu kutoka   mgodi wa dhahabu Bulyanhulu kuendelea na kazi ya kutafuta watu wengine waliofukiwa na kifusi.
Rufunga alitoa amri hiyo alipokuwa akizungumza na wananchi katika machimbo ya Kalole, ambapo aliwapa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shy-Rose akaangwa

HOJA binafsi ya kumjadili mbunge Shy-Rose Bhanji wa Tanzania ndani ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limeingia katika sura mpya baada bunge hilo kuahirishwa tena jana muda mfupi...

 

11 years ago

TheCitizen

Teachers shy away from military training

Teachers in the district here have quietly boycotted attending the ongoing military training for all civil servants who never went through the National Service.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani