Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


tantrade yaipigia jeki JBC mpakani tunduma


Bw Edwin Rutageruka, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara ya  Ndani, Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade),  akikabidhi Kompyuta, Vifaa vya Ofisi na Samani kwa  Bw.Raymond Mwanisawa, Mwenyekiti wa Kamati ya Ushirikiano  Mpakani (JBC) Tunduma ambaye pia ni Mkuu wa Kituo cha  Tunduma cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).  Vifaa hivi  ni kwa ajili ya kuimarisha ufanisi wa kupitisha mizigo   na kupata taarifa za biashara Mipakani. Tukio hili  lilifanyika tarehe 10 September 2014...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KWACHA NA SHILINGI ZARASIMISHWA MPAKANI TUNDUMA NA NAKONDE




Mkuu wa Wilaya ya Momba, Mhe. Juma Irando (kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Nakonde, Mhe. Field Simwinga (kulia) wakipongezana baada ya Uzinduzi Wa Utekelezaji Wa Makubaliano Ya Mpango Wa Urasimishaji Wa Matumizi Ya Kwacha Na Shilingi. Wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Tawi la Benki Kuu ya Tanzania Mbeya, Bw. Ibrahim Malogoi...

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaipigia hesabu Yanga

KLABU ya Azam FC, imejiwekea malengo ya kushinda mechi zake mbili za Ligi Kuu ya Tanzania Bara, zitakazochezwa siku tano zijazo kwenye uwanja wa Chamazi Complex Mbagala Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

COASTAL YAIPIGIA HESABU PRISON, YAWEKA MIPANGO YA KUHAKIKISHA POINTI TATU ZINABAKI MKWAKWANI

NA MWANDISHI WETU, TANGA.
Timu ya Coastal Union imeanza kuzipigia hesabu pointi tatu muhimu za wapinzani wao Tanzania Prison ili kuweza kuhakikisha wanazichukua wakati watakapokutana kwenye mechi ya Ligi kuu Tanzania bara.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa wikiendi hii kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni mzunguko wa pili wa ligi hiyo ikielekea lala salama.
Akizungumza leo mara baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu hiyo yanayo endelea kwenye viwanja vya shule ya sekondari Popatlaly mjini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TanTrade yaita wafanyabiashara

WAJASIRIAMALI nchini wametakiwa kutumia Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ‘Sabasaba’ yanayotarajiwa kuanza Juni 28, kutafuta fursa za kibiashara badala ya kuegemea katika kuuza bidhaa. Wito huo ulitolewa jana...

 

10 years ago

Habarileo

Wakurugenzi TanTrade kizimbani

Mahakama ya Hakimu Mkazi KisutuWAKURUGENZI wawili wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka na kusababisha hasara ya Sh milioni 49.1.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tantrade yawekwa kitimoto

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC), imeipa saa 48 Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), kuwasilisha kadi za vyombo vya moto 11 vilivyobadishwa usajili wa...

 

11 years ago

Habarileo

11 years ago

Habarileo

Magari 5 ya Serikali yayeyuka TanTrade

MAKUCHA ya Bunge, kupitia Kamati yake ya Hesabu za Serikali (PAC) imeendelea kufichua maovu katika idara za Serikali na Mashirika ya Umma, safari hii ikiwa zamu ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara nchini (TanTrade) iliyopewa saa 48 kuwaanika wahusika wa magari matano na pikipiki nane zilizoyeyuka katika mazingira ya kutatanisha.

 

11 years ago

TheCitizen

Tantrade: Unrecorded exports high

>Tanzania exports more goods than what authorities officially record, says a senior official.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani