Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TanTrade yaita wafanyabiashara

WAJASIRIAMALI nchini wametakiwa kutumia Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ‘Sabasaba’ yanayotarajiwa kuanza Juni 28, kutafuta fursa za kibiashara badala ya kuegemea katika kuuza bidhaa. Wito huo ulitolewa jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Simba yaita vyombo vya dola kuchunguza

Haji-Manara-SimbaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Simba umesema upo radhi vyombo vya dola vichunguze mkataba wao na mchezaji, Ramadhani Singano ‘Messi’, ili kuweza kubaini ukweli na kutatua utata unaoendelea kwa sasa.
Messi atakuwa mchezaji wa pili Simba mkataba wake kuchunguzwa na vyombo vya dola baada ya ule wa Athuman Idd ‘Chuji’ kudaiwa kufojiwa saini kama lilivyo sakata la Messi, kipindi anataka kuihama klabu hiyo mwaka 2008/2009.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Ofisa habari wa klabu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMA yaita vijana kuadhimisha siku yao

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imewataka vijana washiriki katika kuokoa dunia kutoka kwenye majanga yanayoletwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Hayo yalibainishwa Dar es Salaam jana na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tantrade yawekwa kitimoto

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC), imeipa saa 48 Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), kuwasilisha kadi za vyombo vya moto 11 vilivyobadishwa usajili wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wakurugenzi TanTrade kizimbani

Mahakama ya Hakimu Mkazi KisutuWAKURUGENZI wawili wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka na kusababisha hasara ya Sh milioni 49.1.

 

10 years ago

Habarileo

Magari 5 ya Serikali yayeyuka TanTrade

MAKUCHA ya Bunge, kupitia Kamati yake ya Hesabu za Serikali (PAC) imeendelea kufichua maovu katika idara za Serikali na Mashirika ya Umma, safari hii ikiwa zamu ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara nchini (TanTrade) iliyopewa saa 48 kuwaanika wahusika wa magari matano na pikipiki nane zilizoyeyuka katika mazingira ya kutatanisha.

 

11 years ago

Michuzi

TANTRADE YATANGAZA VIINGILIO SABASABA

Kaimu Mkurugenzi wa TanTrade, Anna akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kulipia viingilio kwa njia ya M-Pesa na usalama katika maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba)Dar es Salaam yatakayo anza rasmi kesho na kumalizika julai 8 mwaka huu. Kulia ni Meneja bidhaa na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Moses Krom. Meneja bidhaa na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Moses Krom akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusiana...

 

10 years ago

TheCitizen

Tantrade: Unrecorded exports high

>Tanzania exports more goods than what authorities officially record, says a senior official.

 

10 years ago

Habarileo

11 years ago

Michuzi

TanTrade yapongezwa kwa kuboresha Muungano Kibiashara

 Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa maonyesho ya biashara ya Eid El Fitri katika viwanja vya Maisara, wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Sabetha Mwambenja na katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Bi. Anna Bulondo. Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui akiangalia bidhaa za wajasiriamali kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani