Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMA yaita vijana kuadhimisha siku yao

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imewataka vijana washiriki katika kuokoa dunia kutoka kwenye majanga yanayoletwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Hayo yalibainishwa Dar es Salaam jana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kongamano la Vijana mkoani Mbeya wakati wa kuadhimisha siku ya vijana duniani

Mgeni rasmi ambaye ni Afisa Vijana Halmashauri jiji la Mbeya  Onah Temu akitoa hotuba katika siku ya Vijana Duniani ambayo kwa Mkoa wa Mbeya ilifanyikia Ukumbi wa Chuo kikuu Cha Mzumbe Kampasi ya Mbeya.

IMG_3165

Vijana wakisikiliza kwa makini watoa mada kaika sherehe hiyo iliyofanyika ukumbi wa Mzumbe Mbeya.

Mratibu wa Mradi wa Restless Fadhiri Mtanga akitoa mada kuhusu Maendeleo ya Vijana.

Wakili Stephen John akiwashauri vijana kuto tumika na wanasiasa.

Muwezeshaji wa Sherehe hiyo ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya umoja wa vijana (UVCCM) yawaonya viongozi CCM mkoa kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao

KATIBU

Katibu Mkuu wa UVCCM Wilaya ya Mkalama Florian Panga akizungumza kwenye kikao hicho.

Na Hillary Shoo, MKALAMA.

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imewataka viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Singida kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao binafsi kwani kufanya hivyo ni kuleta mpasuko na makundi miongoni mwao.

Changamoto hiyo imetolewa Wilayani hapa na Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhani Kapeto wakati akifunga kambi ya vijana wa Wilaya ya Mkalama ya siku saba kwenye shule ya...

 

11 years ago

Habarileo

TMA yawapa somo vijana

VIJANA wametakiwa kubadilika na kuchukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa kwa kuhakikisha wanashiriki kuokoa dunia kutoka kwenye majanga yaletwayo na mabadiliko hayo.

 

10 years ago

Habarileo

UN kuadhimisha siku ya utumwa

Ofisa Habari wa UN, Stella VuzoUMOJA wa Mataifa leo unaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kumbukumbu ya Waathirika wa Utumwa na Biashara ya Utumwa kupitia Bahari ya Atlantiki.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania kuadhimisha siku ya msanii

RISHO mPOTOZ

Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), na Katikati ni msanii nguli wa kughani mashairi nchini Mrisho Mpoto.(Picha na Maktaba).

Na Beatrice Lyimo- MAELEZO

Mfuko wa Pensheni (PSPF) umedhamini siku ya Msanii Tanazania itayoadhimishwa Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City kwa dhumuni la kuwapa mafunzo wasanii ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Bongo5

Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65

Mrs Diamond Platnumz, Zari Ttale aka The Bosslady amesema hajawatelekeza watoto wake tofauti na watu wengi wanavyomshutumu kwakuwa siku za hivi karibuni amekuwa akiongozana na mpenzi wake huyo mpya. Zari amesema katika mwaka hukaa na wanae kwa siku 300 na zingine zilizosalia hukaa kwa baba yao ambaye walishaachana. “That awkward moment when everyone thinks you […]

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania kuadhimisha Siku ya Moyo leo

WATANZANIA wameombwa kuongeza uelewa kuhusu magonjwa ya moyo, wanapoadhimisha Siku ya Moyo Duniani leo.

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania kuadhimisha Siku ya APRM Afrika

Na Mwandishi Wetu
Machi 9 mwaka huu Tanzania itaungana na nchi nyingine za Afrika wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) kuadhimisha siku ya APRM barani humu.
Akizungumza na gazeti hili Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa APRM Tanzania, Hassan Abbas alisema azimio la kusherehekea Siku ya APRM lilipitishwa Januari mwaka jana katika kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM kilichofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.
“Kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM...

 

10 years ago

Habarileo

Tamwa kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike

CHAMA cha Wanahabari Wanawake (Tamwa) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA) na mashirika mengine yasiyo ya kiserikali kitaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike duniani kwa kufanya mjadala mpana juu ya kukomesha ndoa za utotoni hapa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani