UN kuadhimisha siku ya utumwa
UMOJA wa Mataifa leo unaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kumbukumbu ya Waathirika wa Utumwa na Biashara ya Utumwa kupitia Bahari ya Atlantiki.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Tanzania kuadhimisha siku ya msanii
Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), na Katikati ni msanii nguli wa kughani mashairi nchini Mrisho Mpoto.(Picha na Maktaba).
Na Beatrice Lyimo- MAELEZO
Mfuko wa Pensheni (PSPF) umedhamini siku ya Msanii Tanazania itayoadhimishwa Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City kwa dhumuni la kuwapa mafunzo wasanii ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sE0uJZqk76M/UxbtcAQNOTI/AAAAAAAFRK8/H5yvythy6KA/s72-c/9a66dc56985e2f5f7def2f0d1f5e67f5_XL.jpg)
Tanzania kuadhimisha Siku ya APRM Afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-sE0uJZqk76M/UxbtcAQNOTI/AAAAAAAFRK8/H5yvythy6KA/s1600/9a66dc56985e2f5f7def2f0d1f5e67f5_XL.jpg)
Machi 9 mwaka huu Tanzania itaungana na nchi nyingine za Afrika wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) kuadhimisha siku ya APRM barani humu.
Akizungumza na gazeti hili Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa APRM Tanzania, Hassan Abbas alisema azimio la kusherehekea Siku ya APRM lilipitishwa Januari mwaka jana katika kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM kilichofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.
“Kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Tamwa kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike
CHAMA cha Wanahabari Wanawake (Tamwa) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA) na mashirika mengine yasiyo ya kiserikali kitaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike duniani kwa kufanya mjadala mpana juu ya kukomesha ndoa za utotoni hapa Tanzania.
10 years ago
Habarileo29 Sep
Watanzania kuadhimisha Siku ya Moyo leo
WATANZANIA wameombwa kuongeza uelewa kuhusu magonjwa ya moyo, wanapoadhimisha Siku ya Moyo Duniani leo.
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
TMA yaita vijana kuadhimisha siku yao
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imewataka vijana washiriki katika kuokoa dunia kutoka kwenye majanga yanayoletwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Hayo yalibainishwa Dar es Salaam jana na...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Wilaya ya Tanga walivyojipanga kuadhimisha Siku ya Wanawake
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Yanini kuadhimisha Siku ya Wanawake nusu utupu?
DUNIA imekuwa ikiadhimisha Siku ya Wanawake ambayo hufanyika Machi 8 ya kila mwaka. Siku hiyo imekuwa ikiadhimishwa kwa shughuli mbalimbali zinazowahusu wanawake moja kwa moja katika nyanja tofauti. Safari hii...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LRmx4X25Es/ViYUIE2wFwI/AAAAAAAIBGw/V3JfPTA1GP8/s72-c/Tume%2B01.jpg)
TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LRmx4X25Es/ViYUIE2wFwI/AAAAAAAIBGw/V3JfPTA1GP8/s640/Tume%2B01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cuxQZIZ65mM/ViYUJ52aHLI/AAAAAAAIBHM/XI9IUn3Q-_w/s640/Tume%2B06.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uiquAjs2VZQ/XkV3mjLgZZI/AAAAAAALdS0/DpNjENDFG-gOnwj1-GcyoO9kSf1Mr-u4QCLcBGAsYHQ/s72-c/4-16.jpg)
TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE WA AFRIKA JULAI 31 KILA MWAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uiquAjs2VZQ/XkV3mjLgZZI/AAAAAAALdS0/DpNjENDFG-gOnwj1-GcyoO9kSf1Mr-u4QCLcBGAsYHQ/s640/4-16.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiwa na mmoja wa Muasisi wa PAWO Bibi.Tecla Sumbo mara baada ya kufungua mkutano wa waasisi wa Umoja wa Jumuiya za Wanawake katika nchi huru za Afika (PAWO) tawi la Tanzania na Wizara uliolenga kutoa maoni yao katika uboreshaji wa Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-25.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza wakati mkutano na waasisi...