Tanzania kuadhimisha siku ya msanii
Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), na Katikati ni msanii nguli wa kughani mashairi nchini Mrisho Mpoto.(Picha na Maktaba).
Na Beatrice Lyimo- MAELEZO
Mfuko wa Pensheni (PSPF) umedhamini siku ya Msanii Tanazania itayoadhimishwa Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City kwa dhumuni la kuwapa mafunzo wasanii ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Akizungumza na waandishi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sE0uJZqk76M/UxbtcAQNOTI/AAAAAAAFRK8/H5yvythy6KA/s72-c/9a66dc56985e2f5f7def2f0d1f5e67f5_XL.jpg)
Tanzania kuadhimisha Siku ya APRM Afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-sE0uJZqk76M/UxbtcAQNOTI/AAAAAAAFRK8/H5yvythy6KA/s1600/9a66dc56985e2f5f7def2f0d1f5e67f5_XL.jpg)
Machi 9 mwaka huu Tanzania itaungana na nchi nyingine za Afrika wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) kuadhimisha siku ya APRM barani humu.
Akizungumza na gazeti hili Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa APRM Tanzania, Hassan Abbas alisema azimio la kusherehekea Siku ya APRM lilipitishwa Januari mwaka jana katika kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM kilichofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.
“Kikao cha Wakuu wa Nchi za APRM...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LRmx4X25Es/ViYUIE2wFwI/AAAAAAAIBGw/V3JfPTA1GP8/s72-c/Tume%2B01.jpg)
TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LRmx4X25Es/ViYUIE2wFwI/AAAAAAAIBGw/V3JfPTA1GP8/s640/Tume%2B01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cuxQZIZ65mM/ViYUJ52aHLI/AAAAAAAIBHM/XI9IUn3Q-_w/s640/Tume%2B06.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uiquAjs2VZQ/XkV3mjLgZZI/AAAAAAALdS0/DpNjENDFG-gOnwj1-GcyoO9kSf1Mr-u4QCLcBGAsYHQ/s72-c/4-16.jpg)
TANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE WA AFRIKA JULAI 31 KILA MWAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uiquAjs2VZQ/XkV3mjLgZZI/AAAAAAALdS0/DpNjENDFG-gOnwj1-GcyoO9kSf1Mr-u4QCLcBGAsYHQ/s640/4-16.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiwa na mmoja wa Muasisi wa PAWO Bibi.Tecla Sumbo mara baada ya kufungua mkutano wa waasisi wa Umoja wa Jumuiya za Wanawake katika nchi huru za Afika (PAWO) tawi la Tanzania na Wizara uliolenga kutoa maoni yao katika uboreshaji wa Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-25.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza wakati mkutano na waasisi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII TANZANIA KUFANYIKA OKTOBA 25 DAR
10 years ago
GPLMASHIRIKISHO YA SANAA TANZANIA YAUNGA MKONO SIKU YA MSANII
11 years ago
Michuzi27 Apr
Siku ya hakimiliki duniani: Msanii JB azungumzia hali ilivyo Tanzania
![jacob steven](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/vcngonox8Mq89W_iFtVzZRk-p8ltwgE-z8JZb4xr8ox7r7LctRgfPcUZsp3u9B3KbEJRntDR4pTcXJ3lYKlviY8XbvdFomei-M9dEjvcaN33tiKfVyX77wz-UUf1bK8EBiSNCJjVebehNNUFFkqSrAJrJ7R0=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/04/jacob-steven-300x257.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s72-c/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAUNGANA NA KAMPUNI YA SARUJI YA DANGOTE KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU NA BAADAE BONANZA LA MICHEZO KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s640/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_UfMJOEQiIc/Vmpl_lWbDXI/AAAAAAAILlU/__MwgOyGPPQ/s640/AqveZdopwZHFBpiPoepzMj4VLm0Lma6XEp9hMFXY6CdU.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T6qK-ie3y0U/Vmpl9qcON0I/AAAAAAAILlE/tuC2elMDZk4/s640/AofBcxIlfHHONd4L3WBx3D_DBxJ0YFsX4NHd4jQysETK.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Mar
UN kuadhimisha siku ya utumwa
UMOJA wa Mataifa leo unaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kumbukumbu ya Waathirika wa Utumwa na Biashara ya Utumwa kupitia Bahari ya Atlantiki.