Magari 5 ya Serikali yayeyuka TanTrade
MAKUCHA ya Bunge, kupitia Kamati yake ya Hesabu za Serikali (PAC) imeendelea kufichua maovu katika idara za Serikali na Mashirika ya Umma, safari hii ikiwa zamu ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara nchini (TanTrade) iliyopewa saa 48 kuwaanika wahusika wa magari matano na pikipiki nane zilizoyeyuka katika mazingira ya kutatanisha.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Magari ya serikali kudhibitiwa mafuta
SERIKALI imeanza kutekeleza mradi wa kufunga mfumo wa kielektroniki ili kudhibiti ujazaji wa mafuta katika magari na mitambo ya taasisi za umma. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Kura ya maoni yayeyuka
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesitisha kwa muda usiojulikana upigaji kura ya maoni kwa Katiba Inayopendekezwa uliokuwa umepangwa kufanyika Aprili 30.
NEC imesema imefikia uamuzi kutokana na kushindwa kukamilisha kwa wakati uliopangwa uboreshaji daftari la kudumu la wapigakura.
Kutokana na hatua hiyo, sasa Katiba hiyo itapigiwa kura baada ya kukamilika uandikishaji katika daftari la kudumu la wapigakura kwa mfumo wa kielektroniki (BVR) Julai,...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
‘Serikali iache kununua magari ya kifahari’
SERIKALI imeshauriwa kuacha kununua magari ya kifahari, badala yake fedha hizo zielekezwe katika kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi. Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge wa...
10 years ago
GPL
NDOA YA FEZA KESSY YAYEYUKA
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kambi Twiga Stars Zanzibar yayeyuka
KAMBI ya timu ya soka ya Taifa ya wanawake Twiga Stars iliyokuwa iwekwe Zanzibar tangu jana, imeyeyuka.
10 years ago
GPL
MAWAZIRI WAAGIZWA KUREJESHA IKULU MAGARI YA SERIKALI LEO
10 years ago
Vijimambo
NDOTO YA WEMA SEPETU KUWA MBUNGE YAYEYUKA

Hiyo ni baada ya kushindwa kuwashawishi wanachama wa CCM mkoani mkoani Singida kumpa dhamana ya kuwawakilisha kwenye viti maalum vya ubunge.Wema ameshindwa kupita kwenye kura za maoni za ubunge huo kwa kupata kura 90 tu. Aliyeongoza kwenye kinyang’anyiro hicho ni Aysharose Mattembe (311), Martha Mlata (235) na Diana Chilolo (182).Wema amekubali kushindwa na kudai kuwa ushiriki wake umempa ujasiri zaidi.“Nilivyoamua...
11 years ago
Michuzi
JESHI LA POLISI LAKABIDHIWA MAGARI 20 NA PIKIPIKI 40 KUTOKA SERIKALI YA SAUD ARABIA


10 years ago
Michuzi
SERIKALI YA KENYA YAKUBALI KUYARUHUSU MAGARI YA ABIRIA NA WATALII KUTOKA TANZANIA.

Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.
Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania, ilidumu kwa zaidi ya wiki mbili, ambapo katika kusaka suluhu hiyo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10