Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDOA YA FEZA KESSY YAYEYUKA

Stori: Laurent Samatta
Habari mbaya! Mpenzi msomaji tunasikitika kukujuza kwamba ile ndoa iliyosubiriwa kwa hamu kubwa imeyeyuka baada ya uchumba wa staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’, Feza Kessy na jamaa kutoka Botswana, Oneal umeanguka chali. Staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Video: Feza Kessy — My Papa

Feza Kessy ameachia video ya wimbo wake My Papa iliyofanyika nchini Afrika Kusini. Kuwa wa kwanza kuiona hapa.

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: SANUKA - FEZA KESSY ft. CHEGE (DOWNLOAD)



Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

GPL

FEZA KESSY AMTAKA STTI MTEMVU KUACHIA TAJI

Stori: Mwandishi wetu
MSHIRIKI wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Feza Kessy, amemtaka mshindi wa taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu kuachia ngazi kama kweli madai dhidi yake yanamgusa nafsi yake. Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Feza Kessy. “Yeye ndiye anajua ukweli, arudishe kiroho safi, tumche Mungu, katika maisha haya, hasa katika tasnia ya burudani,...

 

11 years ago

Bongo5

Picha 10 za utengenezaji wa video ya Feza Kessy ‘My papa’, Afrika Kusini

Aliyekuwa mshiriki wa Tanzania katika shindano la Big Brother mwaka jana, Feza Kessy ameshoot video ya wimbo wake mpya ‘My Papa’ aliouachia radioni mwezi April mwaka huu. Video hiyo inayotarajiwa kutoka 08.08.2014 imeshutiwa nchini Afrika Kusini na director aitwaye Kyle White. Models watakaoonekana kwenye video hiyo ni pamoja na Mtanzania aitwaye Daxx, Tandi wa Afrika […]

 

11 years ago

Michuzi

Exclusibve: Behind the scene shooting of Feza Kessy's new music video "My Papa"

 The video was done in South Africa by Director Kyle White,It also features Tanzanian model Daxx, Tandi model from South Africa and Lexi who participated in the Big brother South Africa. Lexi ,Feza and Tandi on Location -Northcliff JBFeza being made up on Location JAB GYM, JohannesburgSouth African Police at the airport they are just FansFor more photos CLICK HERE

 

11 years ago

Bongo5

Star Game meets The Chase: Prezzo afanya kolabo na Feza Kessy

Aliyewahi kuwa mwakilishi wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa Star Game, Prezzo ameingia studio kurekodi ngoma na mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano hilo (The Chase) Feza Kessy. Prezzo amepost picha akiwa na Feza na kuandika: Studio session with @fezakessy new sh*t cming soon. We dnt sleep coz sleeping is the cousin of death […]

 

9 years ago

Michuzi

Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido nchini Nigeria

 Na Mwandishi wetu
Wanamuziki nyota wa bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy  ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na  Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama  Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle...

 

9 years ago

Bongo5

Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos

12301250_207304429604231_67909760_n

Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.

12301250_207304429604231_67909760_n

Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.

“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.

Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.

12357796_1532490560405730_1494566873_n
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia

Jiunge na...

 

10 years ago

Bongo5

Idris amuahidi Feza Kessy mgao kutoka kwenye $300,000 za Big Brother!

Mshindi wa Big Brother Africa 2014, Idris Sultan sio mchoyo wa mkwanja wake alioupata. Pamoja na kuiahidi Afrika nzima kuwa ataipa chochote (sio cash ofcourse), Feza Kessy anaweza kuwa miongoni mwa watu wachache wa karibu watakaopata mgao kidogo! Idris amesema Feza alikuwa mtu aliyempa nguvu wakati akiwa ndani ya jumba hilo hivyo yuko tayari kulipa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani