JESHI LA POLISI LAKABIDHIWA MAGARI 20 NA PIKIPIKI 40 KUTOKA SERIKALI YA SAUD ARABIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xIGAZIcmQ54/Uv3wzG77XYI/AAAAAAAFNJ0/7q7V9wvfc8c/s72-c/photo-2.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mathias Chikawe, (katikati) Mwakilishi wa Balozi wa Saud Arabia, pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu, wakitiliana sahihi moja kati ya Hati za makabidhiano ya magari 20 aina ya Toyota Land Cruiser pamoja na pikipiki 40 vilivyotolewa na serikali ya Saud Arabia, vitendeakazi ambavyo vitasaidia katika kuongeza kasi na ufanisi katika kupambana na matukio ya uhalifu na wahalifu.(picha na Demetrius Njimbwi wa Jeshi la Polisi ).
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sG5QPHdk7n8/XkZ3gW01D0I/AAAAAAALdWE/Ow7X1CRsyaczW3-pVUS6qj3ZOld_F-SRACLcBGAsYHQ/s72-c/1-1AA-1-1024x682.jpg)
KAMISHNA WA JESHI LA POLISI, CP SABAS APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 10 KUTOKA KAMPUNI YA KINGLION
![](https://1.bp.blogspot.com/-sG5QPHdk7n8/XkZ3gW01D0I/AAAAAAALdWE/Ow7X1CRsyaczW3-pVUS6qj3ZOld_F-SRACLcBGAsYHQ/s640/1-1AA-1-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-1AA-1-1024x682.jpg)
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI TANZANIA LAKABIDHIWA MASHINE ZA KUWEKA ALAMA SILAHA
10 years ago
MichuziSERIKALI YAKABIDHIWA MAGARI NA PIKIPIKI KUTOKA SHIRIKA LISILO LA KISERIKALI LA UJERUMANI (GLRA) KWA AJILI YA MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI UGONJWA WA KIFUA KIKUU NA UKOMA
Akipokea msaada huo Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid alisema Tanzania imefikia lengo la kimataifa la kutokomeza ukoma kwa kuwa chini ya mgonjwa mmoja katika watu 10,000 hivyo kufanya ukoma kutokuwa tatizo kubwa la afya nchini.
Alisema pamoja na kupokea msaada huo bado...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SNqeSTe-q28/Xn9Dhgpws-I/AAAAAAAAxR8/9elLBNc5ZpkFKjPQyj38GSRZ0Ilay8ZIQCLcBGAsYHQ/s72-c/matukio%252Bpic.jpg)
POLISI TANZANIA WAKAMATA MAGARI YA WIZI 130 NA PIKIPIKI 193
![](https://1.bp.blogspot.com/-SNqeSTe-q28/Xn9Dhgpws-I/AAAAAAAAxR8/9elLBNc5ZpkFKjPQyj38GSRZ0Ilay8ZIQCLcBGAsYHQ/s640/matukio%252Bpic.jpg)
Akizungumza leo Jumamosi Machi 28, 2020 Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Tanzania (DCI) Robert Boaz amesema wanawahoji watuhumiwa 128 na pindi upelelezi utakapokamilika sheria itachukua mkondo wake.
“Wanunuzi wa magari yaliyotumika ni muhimu kabla ya kununua wajiridhishe muuzaji ni mmiliki halali kwa kutumia polisi kukagua gari hilo na...
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Ni kazi ngumu kuepuka vifo kwa mahujaji Saud Arabia
MWAKA 2014 tarehe kama hizi nilikuwapo Saudi Arabia kwa ajili ya kuhudhuria ibada ya Hijja. Sikuwapo kwenye makundi yanayohudumiwa na mawakala wa mahujaji kutoka Tanzania, bali nilikwenda huko nikiwa mgeni wa serikali ya Mfalme wakati huo Marehemu Mfalme Abdullah bin Abdulaziz. Huyu wa sasa alikuwa msaidizi wake.
Niliungana na wanahabari kutoka vyombo vikubwa na vidogo kutoka barani Afrika, Asia na Ulaya. Mbali na kufanya ibada ya Hijja, serikali ya nchi hiyo ilituwezesha kutembelea maeneo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFUWmqrJLQ4Z5thYvNi*4wUooQxJqhvF*E3vAOe7pwPRKvP2NHhnHzxcI8igVyu*sE3Mc2gqZc2V7KCOWZiihEdr/001.jpg?width=650)
SERIKALI YAPOKEA MAGARI NA PIKIPIKI KUKABILIANA NA UGONJWA WA KIFUA KIKUU NA UKOMA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s72-c/download.jpg)
JK AOMBOLEZA KIFO CHA Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa saudi Arabia
![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s1600/download.jpg)
Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud (90) ambaye alifariki jana, Alhamisi, Januari 22, 2015, na kuzikwa leo, Ijumaa, Januari 23, 2015 mjini Riyadh.Katika salamu zake kwa Mfalme mpya, Mfalme Salman bin Abdul Aziz al Saud, Rais Kikwete amesema kuwa anaungana na wananchi wa Saudi Arabia na dunia nzima kuomboleza kifo cha kiongozi aliyetoa mchango mkubwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-58OK4lG9_Zo/VfWP-e-VTMI/AAAAAAAAh-w/ButtTOrIcF4/s72-c/Salman_bin_Abdull_aziz.jpg)
JK ATUMA SALAMU ZA RAMBIMBI KWA MFALME SALMAN BIN ABDULAZIZ AL SAUD WA SAUDI ARABIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-58OK4lG9_Zo/VfWP-e-VTMI/AAAAAAAAh-w/ButtTOrIcF4/s640/Salman_bin_Abdull_aziz.jpg)
H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a sympathy and condolences massage to H.R. H. Salman bin Abdulaziz Al Saud, King of the Kingdom Saudi Arabia on great sadness the death of 107 pilgrims and more than 200 others injured due to collapse of construction crane at the Holy Mosque in Makka, Saudi Arabia on 11th September 2015.
The massage reads as follows:
“His Royal Highness Salman...
10 years ago
MichuziBENKI YA NMB YAKABIDHI PIKIPIKI TANO KWA JESHI LA POLISI — DODOMA
Pikipiki hizo zilizokabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh Mathias Chikawe na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, zina thamani ya shilingi Milioni 10.
Waziri Chikawe alishukuru NMB kwa kuona umuhimu wa kusaidia jeshi la polisi na hivyo kuwataka...