SERIKALI YAKABIDHIWA MAGARI NA PIKIPIKI KUTOKA SHIRIKA LISILO LA KISERIKALI LA UJERUMANI (GLRA) KWA AJILI YA MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI UGONJWA WA KIFUA KIKUU NA UKOMA
SERIKALI imepokea msaada wa magari manne na pikipiki 20 zenye thamani ya sh. .261,105,615 kutoka Shirika la Wahisani la Kijerumani linalohudumia Ukoma na Kifua Kikuu (GLRA) kwa ajili ya kusaidia sekta ya afya.
Akipokea msaada huo Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid alisema Tanzania imefikia lengo la kimataifa la kutokomeza ukoma kwa kuwa chini ya mgonjwa mmoja katika watu 10,000 hivyo kufanya ukoma kutokuwa tatizo kubwa la afya nchini.
Alisema pamoja na kupokea msaada huo bado...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFUWmqrJLQ4Z5thYvNi*4wUooQxJqhvF*E3vAOe7pwPRKvP2NHhnHzxcI8igVyu*sE3Mc2gqZc2V7KCOWZiihEdr/001.jpg?width=650)
SERIKALI YAPOKEA MAGARI NA PIKIPIKI KUKABILIANA NA UGONJWA WA KIFUA KIKUU NA UKOMA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yapokea gari na pikipiki kukabiliana na ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma nchini
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akipokea ufunguo wa moja ya gari kutoka kwa mwakilishi wa shirika la GLRA nchini Burchard Rwamtoga (kushoto) ikiwa ni ishara ya kukabidhi msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 jijini Dar es salaam.
Eleuteri Mangi-MAELEZO
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imepokea msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 kutoka Shirika la GLRA kutoka nchini Ujerumani kwa ajili...
10 years ago
MichuziSHULE 30 ZAUNGANISHWA NA SHIRIKA LA KIMATAIFA LISILO LA KISERIKALI LA ACTIVISTA TANZANIA PAMOJA NA ACTION AID KUWEZA KUWAFAHAMISHA KUHUSU NGUVU YA KODI KWA VIJANA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xIGAZIcmQ54/Uv3wzG77XYI/AAAAAAAFNJ0/7q7V9wvfc8c/s72-c/photo-2.jpg)
JESHI LA POLISI LAKABIDHIWA MAGARI 20 NA PIKIPIKI 40 KUTOKA SERIKALI YA SAUD ARABIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xIGAZIcmQ54/Uv3wzG77XYI/AAAAAAAFNJ0/7q7V9wvfc8c/s1600/photo-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_9mcKPAbBkk/Uv3xuiLqyeI/AAAAAAAFNKA/lS7pRF8mUH8/s1600/photo-3.jpg)
9 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IqC97l29FIU/VRA6W2MSwGI/AAAAAAAHMgo/6E9Z_l_Z8h0/s72-c/DSC_0973.jpg)
TANZANIA NI NCHI YA SITA KWA KUWA NA IDADI KUBWA YA WATU WENYE UGONJWA WA KIFUA KIKUU BARANI AFRIKA
Utafiti unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 30 ya vifo vya watu walioathirika na Ukimwi vinatokana na Ugomjwa wa Kifua Kukuu na inakadiriwa kuwa tangu kuanza kwa ugonjwa wa ukimwi, kati ya asilimia tano (5) hadi 10 ya watu wenye VVU wana ugonjwa wa kifua kikuu na takribani ya asilimia 40 wanaouguwa kifua kikuu wana maambukizo ya VVU.
Hayo yamesemwa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dk.Donan Mmbando wakati akitangaza maadhimisho ya siku...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D-MZDP0C1FSiTjO9cCMC-qHhuuQtFc4P06buhX02G-wCm0pD4LlZ4ef6D6cYn6cknne*K72ItmqlNq0IRDG7Og5/Cavitary_tuberculosis.jpg?width=650)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65ClpkkqsDO6KcpcLDmSj0B9GEz2gtxoeL*qKkyfnEeSJJXlwd2F*vBmzzItBkS7LDflMAJtfMRLXbOjyHBrTxT/TB2.jpg)
ELEWA UNDANI WA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)-2
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10