Ni kazi ngumu kuepuka vifo kwa mahujaji Saud Arabia
MWAKA 2014 tarehe kama hizi nilikuwapo Saudi Arabia kwa ajili ya kuhudhuria ibada ya Hijja. Sikuwapo kwenye makundi yanayohudumiwa na mawakala wa mahujaji kutoka Tanzania, bali nilikwenda huko nikiwa mgeni wa serikali ya Mfalme wakati huo Marehemu Mfalme Abdullah bin Abdulaziz. Huyu wa sasa alikuwa msaidizi wake.
Niliungana na wanahabari kutoka vyombo vikubwa na vidogo kutoka barani Afrika, Asia na Ulaya. Mbali na kufanya ibada ya Hijja, serikali ya nchi hiyo ilituwezesha kutembelea maeneo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-58OK4lG9_Zo/VfWP-e-VTMI/AAAAAAAAh-w/ButtTOrIcF4/s72-c/Salman_bin_Abdull_aziz.jpg)
JK ATUMA SALAMU ZA RAMBIMBI KWA MFALME SALMAN BIN ABDULAZIZ AL SAUD WA SAUDI ARABIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-58OK4lG9_Zo/VfWP-e-VTMI/AAAAAAAAh-w/ButtTOrIcF4/s640/Salman_bin_Abdull_aziz.jpg)
H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a sympathy and condolences massage to H.R. H. Salman bin Abdulaziz Al Saud, King of the Kingdom Saudi Arabia on great sadness the death of 107 pilgrims and more than 200 others injured due to collapse of construction crane at the Holy Mosque in Makka, Saudi Arabia on 11th September 2015.
The massage reads as follows:
“His Royal Highness Salman...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DrUNLvqWn48/VgtQchK_i3I/AAAAAAAH7y8/XwZmKZYKxvo/s72-c/images.jpg)
TAARIFA ZA KUPATIKANA KWA MAJINA 18 YA MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOPOTEA HUKO SAUDI ARABIA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DrUNLvqWn48/VgtQchK_i3I/AAAAAAAH7y8/XwZmKZYKxvo/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xIGAZIcmQ54/Uv3wzG77XYI/AAAAAAAFNJ0/7q7V9wvfc8c/s72-c/photo-2.jpg)
JESHI LA POLISI LAKABIDHIWA MAGARI 20 NA PIKIPIKI 40 KUTOKA SERIKALI YA SAUD ARABIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xIGAZIcmQ54/Uv3wzG77XYI/AAAAAAAFNJ0/7q7V9wvfc8c/s1600/photo-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_9mcKPAbBkk/Uv3xuiLqyeI/AAAAAAAFNKA/lS7pRF8mUH8/s1600/photo-3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s72-c/download.jpg)
JK AOMBOLEZA KIFO CHA Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa saudi Arabia
![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s1600/download.jpg)
Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud (90) ambaye alifariki jana, Alhamisi, Januari 22, 2015, na kuzikwa leo, Ijumaa, Januari 23, 2015 mjini Riyadh.Katika salamu zake kwa Mfalme mpya, Mfalme Salman bin Abdul Aziz al Saud, Rais Kikwete amesema kuwa anaungana na wananchi wa Saudi Arabia na dunia nzima kuomboleza kifo cha kiongozi aliyetoa mchango mkubwa...
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Rais Kikwete aelekea Saudi Arabia kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amekwenda Saudi Arabia asubuhi ya leo, Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
Baada ya kuhani msiba wa Mfalme Abdullah, Rais Kikwete ataendelea na safari yake kwenda nchi za Ujerumani na Ufaransa kwa ziara za kikazi.
Mjini Berlin, Ujerumani ambako Rais Kikwete alitarajiwa kuwasili kesho, Jumatatu, Januari...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSPons6g7vL1wF8hbhK*p*k457t5lnEo41m1jCH0NwrLaVZoUrQvVUe6Y7nTh0VfTzW-1ClsfNHuTo3xf19MyPc7/Hijaa.jpg?width=650)
A-Z VIFO VYA MAHUJAJI
9 years ago
Vijimambo30 Sep
majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko Saudi Arabia
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko...
9 years ago
Vijimambo01 Oct
Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa masikitiko makubwa...
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Mahujaji wasimulia mazingira ya vifo Makkah
Na Waandishi Wetu, Dar
IMEDAIWA kuwa usimamizi mbaya wa zoezi zima la hijja ndio uliosababisha vifo vya mahujaji waliokwenda kuhiji katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia.
Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na baadhi ya mahujaji ambao wamenusurika kufa katika tukio la kukunyagana lililotokea hivi karibuni katika mji wa Mina.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mmoja wa mahujaji hao waliorejea nchini, Abdulmalik Almas, alisema utaratibu wa kurusha...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10