Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahujaji wasimulia mazingira ya vifo Makkah

Mufti-mpya-599x350Na Waandishi Wetu, Dar

IMEDAIWA kuwa usimamizi mbaya wa zoezi zima la hijja ndio uliosababisha vifo vya mahujaji waliokwenda kuhiji katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia.

Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na baadhi ya mahujaji ambao wamenusurika kufa katika tukio la kukunyagana lililotokea hivi karibuni katika mji wa Mina.

Akizungumza na waandishi  wa habari jijini Dar es Salaam jana, mmoja wa mahujaji hao waliorejea nchini, Abdulmalik Almas, alisema utaratibu wa kurusha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mahujaji waanza Ibada ya Hija Makkah

JANA ilikuwa siku ya mwanzo kwa mahujaji waliopo nchini Saudi Arabia kuanza ibada yao ya Hija. Mitaa yote ya Jiji la Makkah na majiji ya Jeddah na Taif ilifurika mahujaji na magari yaliyokuwa yanaelekea Minah, mji uliopo kilometa saba kutoka Msikiti Mkuu wa Makkah kuingojea siku tukufu ya Arafat.

 

9 years ago

Michuzi

news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.

 Krini ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah ambao uliangukiwa na kusababisha vifo vya mahujaji 107. 


Kufuatia mvua  ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.  

Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa. 

Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

9 years ago

GPL

A-Z VIFO VYA MAHUJAJI

Na Waandishi Wetu
BONGO ni vilio! Kufuatia Watanzania wanne mahujaji miongoni mwa 717 waliopoteza maisha kwa kukanyagana mjini Mina, Maka, Saudi Arabia, hapa Bongo vilio vinaendelea hasa kufuatia habari kuwa, miili ya marehemu hao haitarudishwa nyumbani kwa mazishi.  Marehemu, Seif Salim Kitimla enzi za uhai wake. Tukio la mahujaji hao kupoteza maisha lilijiri Alhamisi iliyopita wakati wa zoezi la kumpiga mawe shetani ikiwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Saudia yakana uvumi wa vifo vya mahujaji

Saudi Arabia imekana ripoti kuwa mkanyagano uliowaua zaidi ya watu 700 karibu na mji wa Mecca ulisababishwa na kufungwa kwa barabara ili kuruhusu watu mashuhuri kuingia eneo hilo.

 

9 years ago

Mwananchi

Hatima ya mahujaji 35 bado haijajulikana, vifo vyafikia nane

Idadi ya Watanzania waliofariki kwa ajali ya kukanyagana wakati wa hija katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia imeongezeka na kufikia watu nane huku wengine 35 wakiripotiwa kutoonekana.

 

9 years ago

Mtanzania

Ni kazi ngumu kuepuka vifo kwa mahujaji Saud Arabia

02DC54EA-FBAE-456F-8923-908F4A140991_mw640_mh360_sMWAKA 2014 tarehe kama hizi nilikuwapo Saudi Arabia kwa ajili ya kuhudhuria ibada ya Hijja. Sikuwapo kwenye makundi yanayohudumiwa na mawakala wa mahujaji kutoka Tanzania, bali nilikwenda huko nikiwa mgeni wa serikali ya Mfalme wakati huo Marehemu Mfalme Abdullah bin Abdulaziz. Huyu wa sasa alikuwa msaidizi wake.

Niliungana na wanahabari kutoka vyombo vikubwa na vidogo kutoka barani Afrika, Asia na Ulaya. Mbali na kufanya ibada ya Hijja, serikali ya nchi hiyo ilituwezesha kutembelea maeneo...

 

10 years ago

Michuzi

WAJAWAZITO WAKIJIFUNGUA KATIKA MAZINGIRA SALAMA VIFO VYAO VITAPUNGUA - SALMA KIKWETE

 Ili kuhakikisha vifo vya kina mama wajawazito vinapungua ni lazima wajifungue katika mazingira salama huku kukiwa na upatikanaji wa kutosha wa vifaa tiba.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Mama Salma Kikwete wakati akiongea na viongozi wa Bohari ya Dawa (MSD) iliyopo Keko Jijini Dar es Salaam.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alitembelea makao makuu ya MSD kwa ajili ya kuangalia vifaa tiba ikiwa ni pamoja na vifaa vya...

 

10 years ago

Michuzi

Tawaaf Msikiti wa Makkah 2014

Mahujjaaj wakiendelea na Tawaaf katika Baytul Haraam. Kutufu ni kuiznguka Al Ka'abah mara saba ambayo ni mojawapo katika Manaasik ( Ibada za Hajj)
 Msikiti wa Makkah ulivyofurika msimu wa Hajj wote wakiwa katika ibaadah. picha hii ilipigwa baada ya salal ya Alfajiri kutoka ghorofa ya pili Haram. Wazee , watoto, kike kwa kiume wakiendelea na Ibada ya Tawaaf. Haram . Al Ka'abah ni sehemu pekee ambapo mchanganyiko kati ya wanawake na wanaume katiba Ibada umeruhusiwaWanaofanya ibada ya Tawaaf...

 

9 years ago

Nahcon

Three Nigerians Injured in Makkah Grand Mosque Tragedy


Daily News | The National Newspaper
Three Nigerians Injured in Makkah Grand Mosque Tragedy - Nahcon
AllAfrica.com
The National Hajj Commission of Nigeria (NAHCON) has confirmed that three Nigerian pilgrims sustained minor injuries in the crane crash in Mecca's Grand Mosque in Saudi Arabia. The Chairman of the commission, Mallam Abdullahi Mukhtar, who made ...
Mufti appeals for calm after Mecca tragedyDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Pakistani pilgrims injured in Makkah...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani