Mahujaji wasimulia mazingira ya vifo Makkah
Na Waandishi Wetu, Dar
IMEDAIWA kuwa usimamizi mbaya wa zoezi zima la hijja ndio uliosababisha vifo vya mahujaji waliokwenda kuhiji katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia.
Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na baadhi ya mahujaji ambao wamenusurika kufa katika tukio la kukunyagana lililotokea hivi karibuni katika mji wa Mina.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mmoja wa mahujaji hao waliorejea nchini, Abdulmalik Almas, alisema utaratibu wa kurusha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Oct
Mahujaji waanza Ibada ya Hija Makkah
JANA ilikuwa siku ya mwanzo kwa mahujaji waliopo nchini Saudi Arabia kuanza ibada yao ya Hija. Mitaa yote ya Jiji la Makkah na majiji ya Jeddah na Taif ilifurika mahujaji na magari yaliyokuwa yanaelekea Minah, mji uliopo kilometa saba kutoka Msikiti Mkuu wa Makkah kuingojea siku tukufu ya Arafat.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xfB_vX_10Ss/default.jpg)
news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.
Kufuatia mvua ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa.
Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSPons6g7vL1wF8hbhK*p*k457t5lnEo41m1jCH0NwrLaVZoUrQvVUe6Y7nTh0VfTzW-1ClsfNHuTo3xf19MyPc7/Hijaa.jpg?width=650)
A-Z VIFO VYA MAHUJAJI
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Saudia yakana uvumi wa vifo vya mahujaji
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Hatima ya mahujaji 35 bado haijajulikana, vifo vyafikia nane
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Ni kazi ngumu kuepuka vifo kwa mahujaji Saud Arabia
MWAKA 2014 tarehe kama hizi nilikuwapo Saudi Arabia kwa ajili ya kuhudhuria ibada ya Hijja. Sikuwapo kwenye makundi yanayohudumiwa na mawakala wa mahujaji kutoka Tanzania, bali nilikwenda huko nikiwa mgeni wa serikali ya Mfalme wakati huo Marehemu Mfalme Abdullah bin Abdulaziz. Huyu wa sasa alikuwa msaidizi wake.
Niliungana na wanahabari kutoka vyombo vikubwa na vidogo kutoka barani Afrika, Asia na Ulaya. Mbali na kufanya ibada ya Hijja, serikali ya nchi hiyo ilituwezesha kutembelea maeneo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_dV7OI8sLG8/VBACXx_aADI/AAAAAAAGiWw/QndcRmM9E4U/s72-c/Mama-Salma-Kikwete.jpg)
WAJAWAZITO WAKIJIFUNGUA KATIKA MAZINGIRA SALAMA VIFO VYAO VITAPUNGUA - SALMA KIKWETE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_dV7OI8sLG8/VBACXx_aADI/AAAAAAAGiWw/QndcRmM9E4U/s1600/Mama-Salma-Kikwete.jpg)
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Mama Salma Kikwete wakati akiongea na viongozi wa Bohari ya Dawa (MSD) iliyopo Keko Jijini Dar es Salaam.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alitembelea makao makuu ya MSD kwa ajili ya kuangalia vifaa tiba ikiwa ni pamoja na vifaa vya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DdfO5XC99dY/VDjrRbsqK1I/AAAAAAABZD0/jVQhvR6LTl8/s72-c/20141001_202605.jpg)
Tawaaf Msikiti wa Makkah 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-DdfO5XC99dY/VDjrRbsqK1I/AAAAAAABZD0/jVQhvR6LTl8/s1600/20141001_202605.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JSIpDT5ZN4k/VDjrTJEBukI/AAAAAAABZEE/aiU_ALFxWFE/s1600/20141010_061522.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-soqkhXsQauI/VDjrSI_b_UI/AAAAAAABZD4/D_I_15GvYyk/s1600/20141010_132832.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uCnK9Fe6P5Q/VDjrUmhPRxI/AAAAAAABZEI/_7YZYyWmNiQ/s1600/20141010_140321.jpg)
9 years ago
Nahcon16 Sep
Three Nigerians Injured in Makkah Grand Mosque Tragedy
Daily News | The National Newspaper
AllAfrica.com
The National Hajj Commission of Nigeria (NAHCON) has confirmed that three Nigerian pilgrims sustained minor injuries in the crane crash in Mecca's Grand Mosque in Saudi Arabia. The Chairman of the commission, Mallam Abdullahi Mukhtar, who made ...
Mufti appeals for calm after Mecca tragedyDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Pakistani pilgrims injured in Makkah...