news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.
![](http://img.youtube.com/vi/xfB_vX_10Ss/default.jpg)
Krini ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah ambao uliangukiwa na kusababisha vifo vya mahujaji 107.
Kufuatia mvua ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa.
Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Taarifa ya kuanguka Msikiti Makhah-Saudi Arabia, Watanzania Salama
![Things-to-do-in-Mecca2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/Things-to-do-in-Mecca2.jpg)
Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa.
Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Ofisi za Ubalozi Riyadh unathibitihsa kuwa Mahujaji wa Tanzania wameanza kuwasili...
9 years ago
Vijimambo01 Oct
Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa masikitiko makubwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OvdPgIM2CGo/Vg1iNPZqi3I/AAAAAAAH8Nk/6aVYHRA696U/s72-c/hh.png)
STOP PRESS: Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
![](http://4.bp.blogspot.com/-OvdPgIM2CGo/Vg1iNPZqi3I/AAAAAAAH8Nk/6aVYHRA696U/s640/hh.png)
Mahujaji hao ambao wanaendelea kupata matibabu na hali zao zikiendelea vizuri ni Bi. Hidaya Mchomvu na Bi. Mahjabin Taslim Khan. Pia kwa mujibu wa taarifa za Ubalozi Hujaji mwingine anayejulikana...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Taarifa zaidi kuhusu Mahujaji kutoka Tanzania waliofariki na kujeruhiwa huko Saudi Arabia
![](http://3.bp.blogspot.com/-z_ZpGGFueAI/Vgmm_RxyyGI/AAAAAAAAijo/-iRytu7Purc/s640/Ministry%2527s%2BHeader%2BFinal.jpg)
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Ubalozi wake mjini Riyadh, Saudi Arabia imepokea taarifa kuwa hadi kufikia tarehe 27 Septemba, 2015 watu waliopoteza maisha kufuatia tukio la mkanyagano (stampede) wa Mahujaji waliokuwa wakielekea Jamarat kutupa vijiwe huko Mina nje kidogo ya mji wa Makkah, lililotokea siku ya Alhamisi tarehe 24 Septemba,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DrUNLvqWn48/VgtQchK_i3I/AAAAAAAH7y8/XwZmKZYKxvo/s72-c/images.jpg)
TAARIFA ZA KUPATIKANA KWA MAJINA 18 YA MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOPOTEA HUKO SAUDI ARABIA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DrUNLvqWn48/VgtQchK_i3I/AAAAAAAH7y8/XwZmKZYKxvo/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4Panb00Exfo/Vk8f6CbQfTI/AAAAAAAIHJo/QcfuU32qT30/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA ZAIDI KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI AU KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Panb00Exfo/Vk8f6CbQfTI/AAAAAAAIHJo/QcfuU32qT30/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITAARIFA ZAIDI KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI AU KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
Mahujaji wengine wane (4) kutoka Tanzania ambao walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa hawaonekani tangu ajali ya kukanyagana kwa mahujaji ilipotokea Makkah nchini Saudi Arabia tarehe 24 Septemba 2015 wametambuliwa kuwa, ni miongoni mwa mahujaji waliofariki dunia. Kutambuliwa kwa mahujaji hao...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s72-c/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s640/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea kwenye Jamaraat , palitokea msongamano mkubwa ( stampede) na kupelekea mahujaji...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s72-c/5143.jpg)
STOP PRESS: TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s640/5143.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s640/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
------------------------------------------------------------------------------------
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea...