STOP PRESS: Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
![](http://4.bp.blogspot.com/-OvdPgIM2CGo/Vg1iNPZqi3I/AAAAAAAH8Nk/6aVYHRA696U/s72-c/hh.png)
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea taarifa za kuwepo Mahujaji wawili kutoka Tanzania ambao wamelazwa katika mojawapo ya hospitali nchini Saudi Arabia baada ya kujeruhiwa kutokana na tukio la mkanyagano wa Mahujaji lililotokea eneo la Mina, Makkah, tarehe 24 Septemba, 2015.
Mahujaji hao ambao wanaendelea kupata matibabu na hali zao zikiendelea vizuri ni Bi. Hidaya Mchomvu na Bi. Mahjabin Taslim Khan. Pia kwa mujibu wa taarifa za Ubalozi Hujaji mwingine anayejulikana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo01 Oct
Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa masikitiko makubwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4Panb00Exfo/Vk8f6CbQfTI/AAAAAAAIHJo/QcfuU32qT30/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA ZAIDI KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI AU KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Panb00Exfo/Vk8f6CbQfTI/AAAAAAAIHJo/QcfuU32qT30/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITAARIFA ZAIDI KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI AU KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
Mahujaji wengine wane (4) kutoka Tanzania ambao walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa hawaonekani tangu ajali ya kukanyagana kwa mahujaji ilipotokea Makkah nchini Saudi Arabia tarehe 24 Septemba 2015 wametambuliwa kuwa, ni miongoni mwa mahujaji waliofariki dunia. Kutambuliwa kwa mahujaji hao...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Taarifa zaidi kuhusu Mahujaji kutoka Tanzania waliofariki na kujeruhiwa huko Saudi Arabia
![](http://3.bp.blogspot.com/-z_ZpGGFueAI/Vgmm_RxyyGI/AAAAAAAAijo/-iRytu7Purc/s640/Ministry%2527s%2BHeader%2BFinal.jpg)
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Ubalozi wake mjini Riyadh, Saudi Arabia imepokea taarifa kuwa hadi kufikia tarehe 27 Septemba, 2015 watu waliopoteza maisha kufuatia tukio la mkanyagano (stampede) wa Mahujaji waliokuwa wakielekea Jamarat kutupa vijiwe huko Mina nje kidogo ya mji wa Makkah, lililotokea siku ya Alhamisi tarehe 24 Septemba,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DrUNLvqWn48/VgtQchK_i3I/AAAAAAAH7y8/XwZmKZYKxvo/s72-c/images.jpg)
TAARIFA ZA KUPATIKANA KWA MAJINA 18 YA MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOPOTEA HUKO SAUDI ARABIA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DrUNLvqWn48/VgtQchK_i3I/AAAAAAAH7y8/XwZmKZYKxvo/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea kwa...
9 years ago
Vijimambo30 Sep
majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko Saudi Arabia
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko...
9 years ago
VijimamboMAHUJAJI WENGINE WAWILI KUTOKA TANZANIA WAFARIKI DUNIA HUKO SAUDI ARABIA
Mahujaji wengine wawili kutoka Tanzania ambao walikuwa hawaonekani tokea ajali ya kukanyagana kwa mahujaji ilipotokea Makkah nchini Saudi Arabia tarehe 24 Septemba 2015 wametambuliwa kuwa, ni miongoni mwa mahujaji waliofariki dunia.
Kutambuliwa kwa mahujaji hao kunafanya idadi ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha katika ajali hiyo kufikia ishirini na saba (27). Majina kamili ya mahujaji hao ni Bw. Juma Yussuf Bakula na Bw. Ahmad Awadh Namongo kutoka Kikundi cha Ahlu Dawaa.
Hadi sasa...
9 years ago
MichuziMAHUJAJI WENGINE WAWILI KUTOKA TANZANIA WAFARIKI DUNIA HUKO SAUDI ARABIA
Mahujaji wengine wawili kutoka Tanzania ambao walikuwa hawaonekani tokea ajali ya kukanyagana kwa mahujaji ilipotokea Makkah nchini Saudi Arabia tarehe 24 Septemba 2015 wametambuliwa kuwa, ni miongoni mwa mahujaji waliofariki dunia.
Kutambuliwa kwa mahujaji hao kunafanya idadi ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha katika ajali hiyo kufikia ishirini na saba (27). Majina kamili ya mahujaji hao ni Bw. Juma Yussuf Bakula na Bw. Ahmad Awadh Namongo kutoka Kikundi cha Ahlu Dawaa.
Hadi sasa...