Saudia yakana uvumi wa vifo vya mahujaji
Saudi Arabia imekana ripoti kuwa mkanyagano uliowaua zaidi ya watu 700 karibu na mji wa Mecca ulisababishwa na kufungwa kwa barabara ili kuruhusu watu mashuhuri kuingia eneo hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSPons6g7vL1wF8hbhK*p*k457t5lnEo41m1jCH0NwrLaVZoUrQvVUe6Y7nTh0VfTzW-1ClsfNHuTo3xf19MyPc7/Hijaa.jpg?width=650)
A-Z VIFO VYA MAHUJAJI
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Majina ya Mahujaji 18 kati ya 50 waliopotea Saudia yapatikana
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Mahujaji wasimulia mazingira ya vifo Makkah
Na Waandishi Wetu, Dar
IMEDAIWA kuwa usimamizi mbaya wa zoezi zima la hijja ndio uliosababisha vifo vya mahujaji waliokwenda kuhiji katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia.
Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na baadhi ya mahujaji ambao wamenusurika kufa katika tukio la kukunyagana lililotokea hivi karibuni katika mji wa Mina.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mmoja wa mahujaji hao waliorejea nchini, Abdulmalik Almas, alisema utaratibu wa kurusha...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Hatima ya mahujaji 35 bado haijajulikana, vifo vyafikia nane
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Iran na Saudia zatupiana maneno kuhusu vifo
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Ni kazi ngumu kuepuka vifo kwa mahujaji Saud Arabia
MWAKA 2014 tarehe kama hizi nilikuwapo Saudi Arabia kwa ajili ya kuhudhuria ibada ya Hijja. Sikuwapo kwenye makundi yanayohudumiwa na mawakala wa mahujaji kutoka Tanzania, bali nilikwenda huko nikiwa mgeni wa serikali ya Mfalme wakati huo Marehemu Mfalme Abdullah bin Abdulaziz. Huyu wa sasa alikuwa msaidizi wake.
Niliungana na wanahabari kutoka vyombo vikubwa na vidogo kutoka barani Afrika, Asia na Ulaya. Mbali na kufanya ibada ya Hijja, serikali ya nchi hiyo ilituwezesha kutembelea maeneo...
5 years ago
BBCSwahili07 May
Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?
9 years ago
Habarileo08 Nov
Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba
JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10