Majina ya Mahujaji 18 kati ya 50 waliopotea Saudia yapatikana
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea majina 18 kati ya 50 ya Mahujaji kutoka Tanzania ambao hadi sasa hawaonekani kufuatia tukio la mkanyagano wa Mahujaji lililotokea eneo la Mina, Makkah tarehe wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 769 na wengine 934 kujeruhiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo30 Sep
majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko Saudi Arabia
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DrUNLvqWn48/VgtQchK_i3I/AAAAAAAH7y8/XwZmKZYKxvo/s72-c/images.jpg)
TAARIFA ZA KUPATIKANA KWA MAJINA 18 YA MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOPOTEA HUKO SAUDI ARABIA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DrUNLvqWn48/VgtQchK_i3I/AAAAAAAH7y8/XwZmKZYKxvo/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka...
9 years ago
Habarileo30 Sep
Mahujaji 18 waliopotea Makka watambuliwa
SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kuwa mahujaji 50 wa Tanzania waliokuwa katika Mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, hawajulikani walipo tangu kutokea kwa tukio la kukanyagana na kusababisha vifo vya watu 769, imesema imepokea majina 18 ya watu ambao hawajulikani walipo.
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Saudia yakana uvumi wa vifo vya mahujaji
9 years ago
StarTV16 Nov
Kamati kuu CCM yapitisha majina matatu kati ya 21
Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM imepitisha majina matatu kati ya 21 ya wagombea waliojitokeza kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea kiti cha Spika katika Bunge la 11.
Kikao hicho cha kamati kuu kimeongozwa na mwenyekiti wa chama hicho taifa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma.
katika uwanja wa ndege wa Dodoma mwenyekiti Taifa wa chama cha mapinduzi CCM ambaye ni rais mstafuu Dk. Jakaya mrisho Kikwete akiwasili na kulakiwa na baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho...
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Nyota wa Bongofleva waliopotea
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Kipipa Millers: Kinara kati ya kampuni 100 za kati nchini
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Mifupa ya Dinosaria yapatikana TZ
11 years ago
BBCSwahili12 Jan