Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota wa Bongofleva waliopotea

Tangu kuibuka kwa muziki wa kizazi kipya ambao wengi wanautambua kwa jina la |BongoFleva, yapo majina ya wanadada ambayo yalitajwa kuwa mihimili ya muziki huo ambayo kwa sasa yanasuasua kwenye medani ya muziki huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mahujaji 18 waliopotea Makka watambuliwa

SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kuwa mahujaji 50 wa Tanzania waliokuwa katika Mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, hawajulikani walipo tangu kutokea kwa tukio la kukanyagana na kusababisha vifo vya watu 769, imesema imepokea majina 18 ya watu ambao hawajulikani walipo.

 

9 years ago

Mwananchi

Majina ya Mahujaji 18 kati ya 50 waliopotea Saudia yapatikana

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea majina 18 kati ya 50 ya Mahujaji kutoka Tanzania ambao hadi sasa hawaonekani kufuatia tukio la mkanyagano wa Mahujaji lililotokea eneo la Mina, Makkah tarehe wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 769 na wengine 934 kujeruhiwa.

 

9 years ago

Vijimambo

majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko Saudi Arabia


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Coat of Arms
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600               
               20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA ZA KUPATIKANA KWA MAJINA 18 YA MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOPOTEA HUKO SAUDI ARABIA


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

 


Simu: 255-22-2114615, 211906-12

Barua pepe: nje@nje.go.tz

Barua pepe: gcu@nje.go.tz

Tovuti : www.foreign.go.tz

Nukushi: 255-22-2116600

              

 


                20 KIVUKONI FRONT,

                           P.O. BOX 9000,

                  11466 DAR ES SALAAM, 

                                    Tanzania.


 


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

11 years ago

GPL

JOKATE HUYOO BONGOFLEVA

Stori: Musa Mateja MWANAMITINDO maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo juzikati aliamua kujizamisha rasmi kwenye muziki wa Bongo Fleva baada ya kupanda kwa mara ya kwanza katika Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, akiwa na madensa wake. Mwanamitindo maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo. Ishu hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Agosti 10 mwaka huu ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza,...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Siendi kinyume na bongofleva hiphop’

Rapa wa muziki wa Hiphop nchini, Boniventure Kabobo maarufu Stamina, amesema kasi ya mabadiliko ya muziki wa Bongo Fleva haiwezi kumwondoa katika aina ya muziki anaoufanya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani