Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOKATE HUYOO BONGOFLEVA

Stori: Musa Mateja MWANAMITINDO maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo juzikati aliamua kujizamisha rasmi kwenye muziki wa Bongo Fleva baada ya kupanda kwa mara ya kwanza katika Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, akiwa na madensa wake. Mwanamitindo maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo. Ishu hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Agosti 10 mwaka huu ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtendaji Nangolo huyoo Old Trafford

OFISA Mtendaji wa Kijiji cha Nangolo, wilayani Kilwa, mkoani Lindi, Shaibu Dege, ameibuka mshindi wa tiketi mbili za kwenda kuangalia mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza kwenye Uwanja wa Old...

 

9 years ago

Mtanzania

Jua Cali huyoo kwa Snoop Dogg, Dr Dre

jua-kaliNAIROBI, KENYA

MKALI wa wimbo wa ‘Kwaheri’, Paul Nunda ‘Jua Cali’, anatarajia kusonga mbele kimataifa kutokana na mpango wake wa kufanya kazi na wasanii wakali duniani akiwemo, Snoop Dogg na Dr Dre.

Jua Cali hakutoa wimbo mpya tangu mwaka 2008 alipotoa wimbo wa ‘Kwa heri’ uliokuwa kwenye chati za juu Afrika Mashariki, lakini kwa sasa msanii huyo amewekeza muziki wake katika soko la kimataifa hasa kwa wasanii wa Marekani, Snoop na Dr. Dre.

“Ninaamini nina uwezo mkubwa kwa kuwa nilifanya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu

Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.

Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz

Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE


Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota wa Bongofleva waliopotea

Tangu kuibuka kwa muziki wa kizazi kipya ambao wengi wanautambua kwa jina la |BongoFleva, yapo majina ya wanadada ambayo yalitajwa kuwa mihimili ya muziki huo ambayo kwa sasa yanasuasua kwenye medani ya muziki huo.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Siendi kinyume na bongofleva hiphop’

Rapa wa muziki wa Hiphop nchini, Boniventure Kabobo maarufu Stamina, amesema kasi ya mabadiliko ya muziki wa Bongo Fleva haiwezi kumwondoa katika aina ya muziki anaoufanya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani