Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtendaji Nangolo huyoo Old Trafford

OFISA Mtendaji wa Kijiji cha Nangolo, wilayani Kilwa, mkoani Lindi, Shaibu Dege, ameibuka mshindi wa tiketi mbili za kwenda kuangalia mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza kwenye Uwanja wa Old...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JOKATE HUYOO BONGOFLEVA

Stori: Musa Mateja MWANAMITINDO maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo juzikati aliamua kujizamisha rasmi kwenye muziki wa Bongo Fleva baada ya kupanda kwa mara ya kwanza katika Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, akiwa na madensa wake. Mwanamitindo maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo. Ishu hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Agosti 10 mwaka huu ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza,...

 

9 years ago

Mtanzania

Jua Cali huyoo kwa Snoop Dogg, Dr Dre

jua-kaliNAIROBI, KENYA

MKALI wa wimbo wa ‘Kwaheri’, Paul Nunda ‘Jua Cali’, anatarajia kusonga mbele kimataifa kutokana na mpango wake wa kufanya kazi na wasanii wakali duniani akiwemo, Snoop Dogg na Dr Dre.

Jua Cali hakutoa wimbo mpya tangu mwaka 2008 alipotoa wimbo wa ‘Kwa heri’ uliokuwa kwenye chati za juu Afrika Mashariki, lakini kwa sasa msanii huyo amewekeza muziki wake katika soko la kimataifa hasa kwa wasanii wa Marekani, Snoop na Dr. Dre.

“Ninaamini nina uwezo mkubwa kwa kuwa nilifanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sikinde yarejea ‘Old Trafford’

BAADA ya miaka minne, hatimaye kundi zima la Mlimani Park Orchestra ‘Sikinde’ limetanagaza kurejea rasmi ndani ya ukumbi wa DDC Kariakoo jijini Dar es Salaam. Ukumbi ambao mashabiki wa ‘Nginde’...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ferdinand kuondoka Old Trafford

Mlinzi wa Manchester United Rio Ferdinand amesema ataondoka Old trafford msimu ujao.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliokuwa Old Trafford warejea

>Washindi wa awamu ya kwanza ya promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa wamerejea nchini wakitokea England waliokuwenda kushuhudia mpambano ya Ligi Kuu ya nchi hiyo kati ya Manchester United na Cardiff City kwenye Uwanja wa Old Trafford.

 

10 years ago

Vijimambo

Ronaldo v Messi at Old Trafford

and Lionel Messi, will go head-to-head in Manchester on Tuesday when Portugal take on Argentina at Old Trafford (kick-off 19:45 GMT).

 

11 years ago

TheCitizen

Black Cats stun Old Trafford

Sunderland took a huge step towards cementing their top-flight status by handing Ryan Giggs the first defeat of his reign as Manchester United manager.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raheem Sterling kuelekea Old Trafford?

Mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling huenda akaelekea katika kilabu ya Manchester United

 

10 years ago

BBCSwahili

Tabiti zapigwa marufuku Old Trafford

Manchester United imepiga marufuku uingizwaji wa tabiti na komputa za Laptop uwanjani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani