Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tabiti zapigwa marufuku Old Trafford

Manchester United imepiga marufuku uingizwaji wa tabiti na komputa za Laptop uwanjani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Volkswagen zapigwa marufuku Uswizi

Taifa la Uswizi limepiga marufuku kuuzwa kwa magari aina ya Volkswagen ambayo yana mitambo ya iliyotengenezwa kudanganya majaribio ya gesi chafu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ndege za Misri zapigwa marufuku Urusi

Mamlaka ya safari za ndege nchini Urusi imepiga marufuku ndege za shirika la taifa la ndege la Misri kuhudumu Urusi.

 

10 years ago

Habarileo

Mashine za kuondoa sumu mwilini zapigwa marufuku

BARAZA la Tiba Asili na Tiba Mbadala limepiga marufuku matumizi ya mashine za Quantum na mashine za kuondoa sumu mwilini, kutokana na waganga wanaotumia mashine hizo kutokuwa na uelewa wa kutafsiri majibu.

 

9 years ago

GPL

VIDEO ZA PSQUARE ZAPIGWA MARUFUKU SOUND CITY TV

KUNDI la muziki la Psquare la nchini Nigeria, lililo chini ya Peter na Paul Okoye,  liliwatangazia mashabiki wake kwamba kampuni ya Soundcity TV imeacha kupiga video zao za muziki. Uamuzi wa kampuni hiyo umetokana na kundi hilo la muziki kutokubali kushirikiana na kampuni hiyo katika ombi la kufanya onyesho mnamo Desemba 2014 hivyo kampuni hiyo kuacha kupiga nyimbo za wanamuziki hao tangu Januari 1, 2015. Ikielezea uamuzi huo,...

 

9 years ago

Mtanzania

Shule binafsi zapigwa marufuku kupandisha ada

Prof-MchomeNa Fredy Azzah, Dar es Salaam

SERIKALI imepiga marufuku wamiliki wa shule binafsi kupandisha ada kuanzia Januari mwakani.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kutoa tamko la kufuta ada na michango mbalimbali kwa shule zake za msingi na sekondari.

Taarifa ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, profesa Sifuni Mchome, imepiga marufuku shule hizo kuongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia  Januari 2016 hadi hapo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Safari zote za kidini zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Saudi Arabia ina miji mitakatifu ya dini ya Kiislamu ya Makka na Madina

 

11 years ago

Michuzi

NGUMI ZAPIGWA MBAGALA

BONDIA Mussa Shuza kushoto akioneshana umwamba na Dackson Kawiani wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa Amenya Pub mbagala rangi tatu Kawiani alishinda kwa point.
Mabondia Ibrahimu Ahmed kushoto na Mohamed Kashinde wakioneshana ubabe wakati wa mpambano wao uliofanyika mbagala Dar es salaam Kashinde alishinda kwa point 
Bondia Hassani Kidebe kushoto akioneshana ufundi wa kutupa makonde na Shabani Mtengela wakati wa mpambano wao Mtengela alishinda kwa point mpambano...

 

10 years ago

Vijimambo

Ronaldo v Messi at Old Trafford

and Lionel Messi, will go head-to-head in Manchester on Tuesday when Portugal take on Argentina at Old Trafford (kick-off 19:45 GMT).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani