NGUMI ZAPIGWA MBAGALA
BONDIA Mussa Shuza kushoto akioneshana umwamba na Dackson Kawiani wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa Amenya Pub mbagala rangi tatu Kawiani alishinda kwa point.
Mabondia Ibrahimu Ahmed kushoto na Mohamed Kashinde wakioneshana ubabe wakati wa mpambano wao uliofanyika mbagala Dar es salaam Kashinde alishinda kwa point
Bondia Hassani Kidebe kushoto akioneshana ufundi wa kutupa makonde na Shabani Mtengela wakati wa mpambano wao Mtengela alishinda kwa point mpambano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNGUMI ZAPIGWA BUNGENI NCHINI KENYA
10 years ago
Vijimambo02 Nov
NGUMI ZAPIGWA WAKATI WA MDAHALO WA KATIBA
![](http://api.ning.com/files/*SUYvb1OXSvrf1macfP7aK7EikC6XFrLihLEHGBikSA9h8gjK9CgyeU-iIUkMzud1NQGWFEtXwmyH710W0h*-fvofLlmD8tY/warioba2.jpg?width=650)
VURUGU zilizoambatana na ngumi kurushwa zimetokea hivi punde katika Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam wakati aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba alipokuwa akitoa mada kwenye mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba.
Vurugu hizo zimezuka baada ya watu waliokuwa na mabango kuvamia ukumbuni hapo na kusababisha baadhi ya watu waliokuwa wanafuatilia mdahalo huo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
VURUGU: NGUMI ZAPIGWA WAKATI WA MDAHALO WA KATIBA
10 years ago
Vijimambo19 Dec
NGUMI KUPIGWA IJUMAA YA TAREHE 19 UKUMBI VIGAE CLASSIC ZAKHEM MBAGALA
Promota wa mpambano wa masumbwi nchini Shabani Adios 'Mwaya mwanya' katikati akiwangalia mabondia Ibrahimu Maokola na Selemani Mkalakala wanavyotunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa taifa unaotambuliwa na chama cha TPBC utakaofanyika leo ijumaa katika ukumbi wa Vigae classic Mbagala Zakhem Picha na SUPERDBOXING
NEWS
Selemani Mkalakala akipima uzito
Mabondia Ibrahimu Maokola na Selemani Mkalakala wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya...
11 years ago
GPLHAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Akaunti za FIFA zapigwa darubini
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Tabiti zapigwa marufuku Old Trafford
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Volkswagen zapigwa marufuku Uswizi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mvM0v2q_hps/Xmt98rUxYUI/AAAAAAALi58/-9TFwbMqxp0Hu3Rsx88HBg45SUgS5i-jgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CORONA, ligi zapigwa STOP
![](https://1.bp.blogspot.com/-mvM0v2q_hps/Xmt98rUxYUI/AAAAAAALi58/-9TFwbMqxp0Hu3Rsx88HBg45SUgS5i-jgCLcBGAsYHQ/s640/index.jpg)
Rasmi, kutokana na kuepuka maambukizi ya Virusi vya Corona, Ligi mbalimbali duniani zimesimamishwa.
Vyama vya soka katika nchi hizo zimetangaza kusimamisha michezo kadhaa hadi mwezi wa Aprili.
Ligi kuu ya Uingereza (EPL) imetangaza kusimamisha michezo yote ya mpira wa miguu, FA, Premier League, EFL na Barclays FA Women’s Super League, pamoja na FA Women’s Championship hadi Aprili 04 mwaka huu ili kuepuka maambukizi ya virusi hivyo.
Ligi kuu Ufaransa (Ligue 1) pamoja na Ligue 2 zimesimamishwa...