NGUMI KUPIGWA IJUMAA YA TAREHE 19 UKUMBI VIGAE CLASSIC ZAKHEM MBAGALA
Promota wa mpambano wa masumbwi nchini Shabani Adios 'Mwaya mwanya' katikati akiwangalia mabondia Ibrahimu Maokola na Selemani Mkalakala wanavyotunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa taifa unaotambuliwa na chama cha TPBC utakaofanyika leo ijumaa katika ukumbi wa Vigae classic Mbagala Zakhem Picha na SUPERDBOXING
NEWS
Selemani Mkalakala akipima uzito
Mabondia Ibrahimu Maokola na Selemani Mkalakala wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Dec
NGUMI KUPIGWA JANUARY 2, 2015 IFAKARA KATIKA UKUMBI WA MAKUTANO
![](https://2.bp.blogspot.com/-y8zUpCEHeeU/VJYAttbRanI/AAAAAAAAGwY/w3sQem9boTQ/s1600/IFAKARA.jpg)
MPAMBANO wa ngumi wa kufungua mwaka unatarajiwa kupigwa Ifakara mkoa wa Morogoro kuhamasisha na kukuza mchezo wa masumbwi nchini. promota wa mpambano huo Hiari Bohari amesema kuwa kwa sasa anataka aendeleze mchezo wa masumbwi Ifakara kwa kuwa watu wapo na mchezo unapendwa.
Alisema siku hiyo ya January 2. 2015 itakuwa ni siku ya kufungua mwaka kwa mpambano wa masumbwi kati ya Abdallah Kilima na Abdul Amwenye huku Saleh Makuka akipambanma na Said Chamaki
Aliongezea pia...
10 years ago
Vijimambo21 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JmZptuyJAfE/VDm1YJPvdLI/AAAAAAAGpbI/yBocRmJPYUs/s72-c/SUPER%2BD%2BTANGAZOLL.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ngumi za kufungulia mwaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Friends Corner Manzese Januari 2!!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mabondia Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kuzidunda mwanzoni mwa mwezi ujao katika mpambano wa kufungulia mwaka 2016 kg 75. Mpambano utakaofanyika January 2/2016 ndani ya ukumbi wa Friends Corner, Manzese.
Mpambano huo ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wao wa kwanza miaka mitatu nyuma kutoka droo ambapo kila bondia amejigamba kumsambaratisha mwenzie
Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mpambano huo, Rajabu...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-61xA1nF_-b0/ViRkLwMhBvI/AAAAAAAIAyk/_06j8GW8yDA/s72-c/ASHA%2B1.jpg)
MKUBWA FELLA ATOA MSAADA KATIKA HOSPITALI YA MBAGALA ZAKHEM JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-61xA1nF_-b0/ViRkLwMhBvI/AAAAAAAIAyk/_06j8GW8yDA/s640/ASHA%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BPyDBUCJJb8/ViRkKLqZK8I/AAAAAAAIAyc/Ux7fqnmS-Cw/s640/ASHA%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ivZMAsijS7I/ViRkPkl8IuI/AAAAAAAIAy0/-ZxOuQMxV9A/s640/ASHA.jpg)
Mwandishi Wetu
TAASISI ya Mkubwa na Wanawe inayomilikiwa na Mkurugenzi wake Said Fella 'Mkubwa Fella' jana ilitembelea Wodi ya Wanawake na Watoto katika Hospital ya Mbagala Zakhem Jijini Dar es...
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Chama cha ACT-Wazalendo chazindua kampeni zake viwanja vya Mbagala Zakhem Dar Es Salaam
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira (kushoto), akihutubia katika uzinduzi wa kampeni ya chama hizo uliofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jijini Dar es Salaam jana.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Kabwe Zitto akihutubia katika uzinduzi huo.
Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo, Profesa Kitila Mkumbo akihutubia kwenye uzinduzi huo.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Kabwe Zitto (kushoto), akiteta jambo na Mgombea urais wa Tanzania...
9 years ago
VijimamboCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAZINDUA KAMPENI ZAKE VIWANJA VYA MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
Michuzi24 Feb
NGUMI ZAPIGWA MBAGALA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LXNighe7JOs/VfKdRUOUC0I/AAAAAAAAHUY/qGChT4HBgj4/s72-c/super%2Bd%2Bboxing%2Bpromotion.jpg)
NGUMI KUPIGWA CHANIKA SEPTEMBA 26
![](http://1.bp.blogspot.com/-LXNighe7JOs/VfKdRUOUC0I/AAAAAAAAHUY/qGChT4HBgj4/s640/super%2Bd%2Bboxing%2Bpromotion.jpg)
Kocha wa kimataifa nchini Rajabu Mhamila 'Super D' utakuwa ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wa kwanza Dimoso kudundwa kwa point
Super D aliongeza kuwa siku iyo...