Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGUMI NDONDI MAWE KUPIGWA JANUARY 2 IFAKALA UKUMBI WA MAKUTANO

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NGUMI KUPIGWA JANUARY 2, 2015 IFAKARA KATIKA UKUMBI WA MAKUTANO

Na Mwandishi Wetu
MPAMBANO wa ngumi wa kufungua mwaka unatarajiwa kupigwa Ifakara mkoa wa Morogoro  kuhamasisha na kukuza mchezo wa masumbwi nchini. promota wa mpambano huo Hiari Bohari amesema kuwa kwa sasa anataka aendeleze mchezo wa masumbwi Ifakara kwa kuwa watu wapo na mchezo unapendwa.
Alisema siku hiyo ya January 2. 2015 itakuwa ni siku ya kufungua mwaka kwa mpambano wa masumbwi kati ya Abdallah Kilima na Abdul Amwenye huku Saleh Makuka akipambanma na Said Chamaki
Aliongezea pia...

 

10 years ago

Vijimambo

NGUMI KUPIGWA IJUMAA YA TAREHE 19 UKUMBI VIGAE CLASSIC ZAKHEM MBAGALA



Promota wa mpambano wa masumbwi nchini Shabani Adios 'Mwaya mwanya' katikati akiwangalia mabondia Ibrahimu Maokola na Selemani Mkalakala wanavyotunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa taifa unaotambuliwa na chama cha TPBC utakaofanyika leo ijumaa katika ukumbi wa Vigae classic Mbagala Zakhem Picha na SUPERDBOXING
NEWS
 
Selemani Mkalakala akipima uzito

Mabondia Ibrahimu Maokola na Selemani Mkalakala wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ngumi za kufungulia mwaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Friends Corner Manzese Januari 2!!

super d boxing promotion

 

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Mabondia  Selemani Galile ‘Selemani Toll’  na  Zumba Kukwe wanatarajia kuzidunda mwanzoni mwa mwezi ujao katika mpambano wa kufungulia mwaka 2016 kg 75. Mpambano utakaofanyika  January 2/2016  ndani ya ukumbi wa Friends Corner, Manzese.

Mpambano huo ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wao wa kwanza miaka mitatu  nyuma kutoka droo ambapo kila bondia amejigamba kumsambaratisha mwenzie

Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mpambano  huo, Rajabu...

 

9 years ago

Michuzi

NGUMI KUPIGWA CHANIKA SEPTEMBA 26

Na Mwandishi Wetu BONDIA Said Mbelwa anatarajia kupanda uringoni kwa mara nyingine tena kugombania mkanda wa taifa wa chama cha ngumi za kulipwa PST dhidi ya bondia George Dimoso mpambano .Mpambano utakaofanyika Septemba 26 katika ukumbi wa Butihama Villa Club uliopo chanika mpambano huo wa raundi kumi ulioratibiwa na 
Kocha wa kimataifa nchini Rajabu Mhamila 'Super D' utakuwa ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wa kwanza Dimoso kudundwa kwa point

Super D aliongeza kuwa siku iyo...

 

10 years ago

Mtanzania

Makonda anusurika kupigwa mawe Dar

NA WAANDISHI WETU
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na maofisa wa Jeshi la Polisi jana walijikuta katika wakati mgumu baada ya kunusurika kupigwa mawe na vijana waliokuwa wamejazana katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
Makonda na maofisa hao, walifika eneo hilo kwa nia ya kuwaomba madereva wa mabasi yaendayo mikoani kusitisha mgomo waliouanza juzi.
Maofisa wa polisi walionusurika kupigwa mawe ni Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga na...

 

10 years ago

Michuzi

NGUMI KUPIGWA MEI 16 BAGAMOYO MJINI

Na Mwandishi Wetu 
MABONDIA Iddi Pialali wa Kiwangwa Bagamoyo na Adam Ngange wa Chanika Dar es salaam watapima uzito siku ya ijumaa katika stendi kuu ya mabasi Bagamoyo na kupigana siku ya jumamosi ya mei 16 katika ukumbi wa che kwa che uliopo Bagamoyo mjini, ambapo mabondia hao watamalizia ubishi wao wa nani zaidi kati ya Bagamoyo na Chanika.
Mpambano huo utakaosimamiwa na Chama cha Ngumi za Kulipwa P.S.T utakuwa wa raundi sita na kwa uzito wa kg 61, ambapo kutakuwa na mapambano mengine ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

'Wezi kukatwa mikono na wazinifu kupigwa mawe'

Hii ndio sheria mpya itakayoanza kutumika nchini Brunei nchi ya kiisilamu Kusini Mashariki mwa Asia. Nchi hii ni jirani na Malaysia na Indonesia

 

11 years ago

BBCSwahili

Mzee kuuawa kwa kupigwa mawe Nigeria

Mahakama ya kiisilamu katika jimbo la Kano nchini Nigeria, imemkuhuku kifo mzee wa miaka 60 kwa kupigwa mawe hadi afe kwa kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani