Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makonda anusurika kupigwa mawe Dar

NA WAANDISHI WETU
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na maofisa wa Jeshi la Polisi jana walijikuta katika wakati mgumu baada ya kunusurika kupigwa mawe na vijana waliokuwa wamejazana katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
Makonda na maofisa hao, walifika eneo hilo kwa nia ya kuwaomba madereva wa mabasi yaendayo mikoani kusitisha mgomo waliouanza juzi.
Maofisa wa polisi walionusurika kupigwa mawe ni Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

'Wezi kukatwa mikono na wazinifu kupigwa mawe'

Hii ndio sheria mpya itakayoanza kutumika nchini Brunei nchi ya kiisilamu Kusini Mashariki mwa Asia. Nchi hii ni jirani na Malaysia na Indonesia

 

11 years ago

BBCSwahili

Mzee kuuawa kwa kupigwa mawe Nigeria

Mahakama ya kiisilamu katika jimbo la Kano nchini Nigeria, imemkuhuku kifo mzee wa miaka 60 kwa kupigwa mawe hadi afe kwa kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12.

 

10 years ago

Habarileo

Mzazi amtesa mwanawe, anusurika kupigwa

MKAZI wa kitongoji cha Bogini Juu wilaya ya Moshi Vijijini, Amir Amir amenusurika kupigwa na wananchi kwa madai ya kumnyanyasa mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 10 ( jina lake limehifadhiwa) baada ya kufanikiwa kutoroka kutoka katika makazi yake.

 

11 years ago

Habarileo

Mwalimu Mkuu aamrisha mzazi kuzomewa, kupigwa mawe

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, inadaiwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Darajani iliyoko Tabata katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam kuamuru wanafunzi wake kumzomea mzazi aliyefika shuleni hapo kuhoji juu ya michango wanayodaiwa wanafunzi mara kwa mara.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari juu ya  kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao watapitia mikataba yote ya miradi mbalimbali iliyosainiwa mkoa wa Dar es salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa globu ya jamii)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...

 

10 years ago

Mtanzania

Mkono anusurika kutekwa Dar

mkonobcNa Kulwa Karedia

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amesurika kutekwa na watu wasiofahamika katika eneo la Tangibovu, Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na kusainiwa na Mkono mwenyewe, ilisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4:30 asubuhi.
“Nikiwa na wasaidizi wangu wawili tukitoka Bagamoyo tukiwa ndani ya gari langu aina ya Marcedes Benz katika eneo la Mbezi Tangibovu ghafla yalitokea magari mawili ya Toyota Prado na Toyota Land Cruiser VX...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

GPL

MTOTO ANUSURIKA KUFA KWA AJALI TABATA-DAR

Mtoto Sadam akiwa amejeruhiwa mikononi baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Carry eneo la Tabata West Mtoto Sadam akionekana baada ya kunusurika na ajali hiyo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani