Mzazi amtesa mwanawe, anusurika kupigwa
MKAZI wa kitongoji cha Bogini Juu wilaya ya Moshi Vijijini, Amir Amir amenusurika kupigwa na wananchi kwa madai ya kumnyanyasa mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 10 ( jina lake limehifadhiwa) baada ya kufanikiwa kutoroka kutoka katika makazi yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Aug
Baba mzazi ampa ujauzito mwanawe
MKAZI wa Kijiji cha Bwekela wilayani Igunga mkoani Tabora, Kashinje Shima, anatafutwa na Uongozi wa kijiji hicho, kwa kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka 17.
10 years ago
Mtanzania06 May
Makonda anusurika kupigwa mawe Dar
NA WAANDISHI WETU
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na maofisa wa Jeshi la Polisi jana walijikuta katika wakati mgumu baada ya kunusurika kupigwa mawe na vijana waliokuwa wamejazana katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
Makonda na maofisa hao, walifika eneo hilo kwa nia ya kuwaomba madereva wa mabasi yaendayo mikoani kusitisha mgomo waliouanza juzi.
Maofisa wa polisi walionusurika kupigwa mawe ni Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga na...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi
11 years ago
Habarileo09 Aug
Mwalimu Mkuu aamrisha mzazi kuzomewa, kupigwa mawe
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, inadaiwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Darajani iliyoko Tabata katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam kuamuru wanafunzi wake kumzomea mzazi aliyefika shuleni hapo kuhoji juu ya michango wanayodaiwa wanafunzi mara kwa mara.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hnZ2zBlGGNX9fvBGfH8IhHcRvKHiUayuHQeMZVXpp3g74FYuI8gMoLu*cgQgM3BfJD4mLg6ZBQfTf7qN2vP3VAaqJwyB20OS/p.txt.jpg)
MTOTO AMTESA ODAMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkibaidcqclwn0I2pZMATIaubA4iZ6oNAhmm8znFxh0pWEPVWCXY1511bGa-hGjUmS-zvQbEQg8dE2ilGJqaN6Z/Lulu.gif?width=650)
LULU BADO AMTESA MAMA KANUMBA
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Mtoto mpya amtesa Kim Kardashian
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Andrey Coutinho amtesa Marcio Maximo Yanga SC
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo,amesema hana uhakika kama Andrey Coutinho atacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...
10 years ago
Habarileo17 Oct
Mama, mwanawe wachinjwa
WATU wawili, Dilu Tungu (80) na mwanawe Bunya Mihangwa (45) wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiofahamika baada ya kuvamia nyumba hiyo katika kijiji cha Ihugi kata ya Lyamidati wilaya ya Shinyanga kwa kile kilichoelezwa kuwa ni imani za kishirikina.