Andrey Coutinho amtesa Marcio Maximo Yanga SC
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo,amesema hana uhakika kama Andrey Coutinho atacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Dec
MARCIO MAXIMO AONDOKA YANGA
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/12/maximo-manji-leo.tif.jpg?resize=1600%2C1074)
Habari hizi zinakuja dakika chache baada ya Millardayo.com kuripoti tetesi zinazohusu8 mustakabali wa kocha huyo Mbrazil.Maximo anaondoka Yanga baada ya uongozi wa klabu hiyo kukubaliana naye kuvunja mkataba wake baada ya kushindwa kuelewana juu ya jinsi ya kuiendesha klabu hiyo kwenye masuala ya ufundi .
Yanga ilishikilia msimamo wa kumuajiri mkurugenzi wa ufundi ambaye...
10 years ago
TheCitizen18 Dec
Yanga, Marcio Maximo in row over contract
Young Africans leadership is yet to handover an official termination letter to Brazilian technician, Marcio Maximo, it was learnt yesterday.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1h7YENt4dAs/U6rgCuJqWRI/AAAAAAACkQw/-sPNgwfC-M0/s72-c/maximo3.jpg)
MARCIO MAXIMO ASAINI MKATABA NA YANGA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1h7YENt4dAs/U6rgCuJqWRI/AAAAAAACkQw/-sPNgwfC-M0/s1600/maximo3.jpg)
"Ni kweli kocha Marcio Maximo amekubali kuingia mkataba na timu ya Yanga ambapo anatarajiwa kuanza kazi rasmi tarehe 27/06/2014 ambapo atafuatana na msaidizi wake Leonardo Neiva. Mazungumzo ya makubaliano hayo...
10 years ago
Michuzikadhia ya kocha Marcio Maximo yaibu mazito Yanga!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC14q*aDxLayQr823VYTTF0DgM1dmQgPDu-Xw8ExK-9rT4R*fB3a1IXP*xPBbdumTBi*oqsYt7ZLtnhdrzt0w1tn/YANGA1.gif?width=650)
Yanga yatangaza waliopigwa chini, kisa Marcio Maximo
Kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo. John Joseph na Wilbert Molandi
IMEFAHAMIKA kuwa ujio wa kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo, umezuia ajira ya makocha 45 walioomba nafasi hiyo kwenye Klabu ya Yanga, lakini pia tayari ameshakabidhiwa majukumu ya kufanya usajili. Maximo raia wa Brazil, yupo katika hatua za mwisho za kumalizana na klabu hiyo ya Jangwani kabla ya kutua jijini Dar es Salaam kuusaini mkataba...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/duVHRdMH0nc/default.jpg)
MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI
pluijm ampigia saluti Coutinho
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6gYwGXp5bJ6vO-juYYtBqaAAEfk5q5tmBSHr7P*xjCzyuydhSYir8nez3TXdWuSGUMTj4*eW1yNt7jo7wQWUgF/PLUIJMKITAMBI.jpg?width=650)
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1woB2S6sQ1U/U7emH6l6JBI/AAAAAAAFvHg/2SX6wHIPVtI/s72-c/MMGL0008.jpg)
Yanga yaendelea kujifua mchangani chini ya Kocha Marcio Maximo
![](http://1.bp.blogspot.com/-1woB2S6sQ1U/U7emH6l6JBI/AAAAAAAFvHg/2SX6wHIPVtI/s1600/MMGL0008.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Maximo amleta Coutinho Yanga
>Kocha mpya wa Yanga, Marcio Maximo amefungua ukurasa mpya na kipa Juma Kaseja na kuiaidi  kuing’arisha timu hiyo kimataifa kama ilivyo TP Mazembe, wakati kiungo Mbrazili, Andrey Coutinho akitua nchini jana tayari kujiunga na vigogo hao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania