Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Andrey Coutinho amtesa Marcio Maximo Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo,amesema hana uhakika kama Andrey Coutinho atacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MARCIO MAXIMO AONDOKA YANGA

Habari rasmi toka ndani ya klabu ya Yanga zinasema kuwa kocha Mbrazil Marcio Maximo ameondoka ndani ya klabu hiyo .
Habari hizi zinakuja dakika chache baada ya Millardayo.com kuripoti tetesi zinazohusu8 mustakabali wa kocha huyo Mbrazil.Maximo anaondoka Yanga baada ya uongozi wa klabu hiyo kukubaliana naye kuvunja mkataba wake baada ya kushindwa kuelewana juu ya jinsi ya kuiendesha klabu hiyo kwenye masuala ya ufundi .
Yanga ilishikilia msimamo wa kumuajiri mkurugenzi wa ufundi ambaye...

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga, Marcio Maximo in row over contract

Young Africans leadership is yet to handover an official termination letter to Brazilian technician, Marcio Maximo, it was learnt yesterday.

 

11 years ago

Michuzi

MARCIO MAXIMO ASAINI MKATABA NA YANGA.

Kocha mkuu wa zamani wa timu ya Taifa, taifa Stars Marcio Maximo  amesaini mkataba  wa kuwa kocha mkuu na timu ya Yanga kwa muda wa miaka miwili. makubaliano hayo yamefikiwa jana, wakala  anaye mwakilisha Ally Mleh wa kampuni ya Manyara Sports Management amethibitisha hilo.
"Ni kweli kocha Marcio Maximo amekubali kuingia mkataba na timu ya  Yanga ambapo anatarajiwa kuanza kazi rasmi tarehe 27/06/2014 ambapo  atafuatana na msaidizi wake Leonardo Neiva. Mazungumzo ya makubaliano   hayo...

 

10 years ago

Michuzi

kadhia ya kocha Marcio Maximo yaibu mazito Yanga!

Timua timua ndani ya Yanga imeibua kadhia kubwa ambapo zaiodi  ya TSh  bilioni 3 ndani ya klabu hiyo zikidawia kuchotwa na kwamba uchunguzi unaendelea. Mwanasheria wa Yanga George Chacha ameiambaia Globu ya Jamii kwamba  pamoja na kuwa ukaguzi bado unaendelea lakini huenda kuna mabilioni ya fedha yakawa yameyeyuka  ndani ya klabu hiyo. Alisema: "Kwa haraka haraka kuna fedha kiasi cha dola 2500 za tiketi ya mke wa aliyekuwa kocha msaidizi  Leonado Neiva, aliyetakiwa atumiwe ili aje, hizo...

 

11 years ago

GPL

Yanga yatangaza waliopigwa chini, kisa Marcio Maximo

Kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo. John Joseph na Wilbert Molandi
IMEFAHAMIKA kuwa ujio wa kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo, umezuia ajira ya makocha 45 walioomba nafasi hiyo kwenye Klabu ya Yanga, lakini pia tayari ameshakabidhiwa majukumu ya kufanya usajili. Maximo raia wa Brazil, yupo katika hatua za mwisho za kumalizana na klabu hiyo ya Jangwani kabla ya kutua jijini Dar es Salaam kuusaini mkataba...

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI


pluijm ampigia saluti CoutinhoKocha mkuu wa Yanga. Hans van Der Pluijm.
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...

 

11 years ago

Michuzi

Yanga yaendelea kujifua mchangani chini ya Kocha Marcio Maximo

 Wachezaji wa Timu ya Yanga wakiendelea kujifua kwa nguvu zote kwenye Ufukwe wa Bichi ya Barabara ya Ocean Rodi jijini Dar es Salaam mapema leo asubuhi,ikiwa ni katika maandalizi ya mashindano ya ligi kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi hapo Agosti 24 2014.Timu ya Yanga ipo chini ya Kocha aliewahi kuinoa Timu ya Taifa "Taifa Stars" miaka ya nyuma,Kocha Marcio Maximo (wa pili kulia) akiwa na msaidizi wake Leonado Neiva (wa nne kulia) pamoja na Mchezaji wa zamani wa timu...

 

11 years ago

Mwananchi

Maximo amleta Coutinho Yanga

>Kocha mpya wa Yanga, Marcio Maximo amefungua ukurasa mpya na kipa Juma Kaseja na kuiaidi   kuing’arisha timu hiyo kimataifa kama ilivyo TP Mazembe, wakati kiungo Mbrazili, Andrey Coutinho akitua nchini jana tayari kujiunga na vigogo hao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani