MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI
![](http://img.youtube.com/vi/duVHRdMH0nc/default.jpg)
pluijm ampigia saluti CoutinhoKocha mkuu wa Yanga. Hans van Der Pluijm.
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4jSRY6YfW7em-7IhgR*RyZy4RnuTXX3rkWJUgpyjVQQ93XC77gHUIlbNipoxuoJrEwSLHkfbeUr-21p67bZCy1/p.jpg?width=650)
pluijm ampigia saluti Coutinho
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Andrey Coutinho amtesa Marcio Maximo Yanga SC
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo,amesema hana uhakika kama Andrey Coutinho atacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Wema ampigia saluti Diamond
Wema Sepetu ‘Madam’
Stori: Imelda Mtema
MTOTO mzuri Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ ameonesha kumpigia saluti mpenzi wake wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya kuguswa na ubora wa wimbo wake mpya uitwao Utanipenda kwa kuposti video mtandaoni ikimuonesha akiuimba wimbo huo.
Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kwenye video hiyo, Madam anaonekana akiwa na shosti wake mwigizaji Aunt Ezekiel wakiimba wimbo huo kwa staili ya kupokezana huku wakiwa wamejilaza kitandani.
Mmoja wa marafiki wa Madam...
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Vipimo vyamchongea Andrey Coutinho
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Shinyanga wagombea jezi za Andrey Coutinho
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Andrey Coutinho amwaga wino Jangwani
Kiungo wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho (kulia).
Na MOblog Team
Kiungo wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho, amemwaga wino wa kukipiga Jangwani kwa kipindi cha miaka miwili, huku akikabidhiwa jezi namba 7 iliyokuwa ikivaliwa na Didier Kavumbagu aliyejiunga na Azam FC.
Nyota huyo aliyetua nchini siku moja baada ya Maximo kuwasili na kusaini mkataba wa kuinoa Yanga kwa kipindi kama hicho, ameomba sapoti ya wachezaji wenzake na mashabiki wa timu hiyo ili aweze kutimiza malengo ya kuisaidia...
10 years ago
GPL24 Nov
11 years ago
GPL![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74389000/jpg/_74389301_6c01ac29-c610-4600-be86-96b1354ddabb.jpg?width=624)
MCHEZA DENSI ASABABISHA VURUGU BRAZIL
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6ouJdy1k-OQ5-WU8x8esaO0K*BBCAOBQJdGyyIuie45y4OILCysBbRVdpar73qU8S0MU2pTwmi0mViVW0AKyJY5/1.jpg?width=650)
MSHAMBULAJI KUTOKA BRAZIL ATUA YANGA