MCHEZA DENSI ASABABISHA VURUGU BRAZIL
![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74389000/jpg/_74389301_6c01ac29-c610-4600-be86-96b1354ddabb.jpg?width=624)
Moto ukiwaka katika Barabara baada ya kuzuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira katika viunga vya mji mkuu Rio de Janeiro. Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira usiku kucha katika mojawapo ya viunga vya mji mkuu Rio de Janeiro. Barabara zimefungwa mjini humo wakati risasi zikisikika kutoka eneo hilo na polisi waking'ang'ana kuwadhibiti wakaazi hao. Polisi wakipambana na wakaazi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/duVHRdMH0nc/default.jpg)
MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI
pluijm ampigia saluti Coutinho
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6gYwGXp5bJ6vO-juYYtBqaAAEfk5q5tmBSHr7P*xjCzyuydhSYir8nez3TXdWuSGUMTj4*eW1yNt7jo7wQWUgF/PLUIJMKITAMBI.jpg?width=650)
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Mijeledi 91 kwa kucheza densi Iran
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Uchezaji wa densi uliobadili maisha ya wanawake
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Densi ya Drake yatamba kwenye mtandao wa TikTok
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Polisi mashakani kwa kucheza densi India
11 years ago
Habarileo01 Apr
Mtoto asababisha fumanizi hospitali
TAFRANI ilizuka usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Mwananyamala, Kinondoni jijini Dar es Salaam, ikihusisha wanandoa baada ya mke aliyekuwa amempeleka mtoto kutibiwa, kumbamba mumewe akimleta anayedaiwa kuwa kimada pia kupata matibabu hospitalini hapo.
10 years ago
Habarileo14 Aug
Mgonjwa asababisha tafrani Shinyanga
WAKAZI wa Manispaa ya Shinyanga, kwa siku mbili mfululizo walikumbwa na kiwewe, baada ya kuenea uvumi kwamba kuna mgonjwa wa mwenye homa hatari ya ebola, aliyefikishwa katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXr3LUsdMSFKWAVa3rc*Sc4UMOsHIwHn2GdAyzbMpM6HEO7*4PNrJ18KCLmt5sFj3nWbphRPh7FVIxyYp4NCPuvc/OKWI.jpg?width=650)
Okwi asababisha mrembo azimie Taifa