Mgonjwa asababisha tafrani Shinyanga
WAKAZI wa Manispaa ya Shinyanga, kwa siku mbili mfululizo walikumbwa na kiwewe, baada ya kuenea uvumi kwamba kuna mgonjwa wa mwenye homa hatari ya ebola, aliyefikishwa katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRMO SHINYANGA : SIYO KILA MGONJWA MWENYE DALILI ZA CORONA, ANA CORONA
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA ZIARA SOKO KUU SHINYANGA.
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA MKUTANO NA AKINA MAMA ZAIDI YA 300 KUPAMBA NA KIPINDUPINDU SHINYANGA
Hapa ni katika ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ambako wanawake/akina mama zaidi ya 300 wa manispaa ya Shinyanga wamekutana kujadili namna ya kupambana na ugonjwa wa Kipindupindu ambao umeukumba mkoa wa Shinyanga.Mkutano huo umeitishwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro.Akina mama hao waliojitokeza kwa wingi leo jioni Oktoba 06,2015 wameweka mikakati mbalimbali ya kutokemeza ugonjwa kipindupindu ambapo Jana pekee wagonjwa 9 wamelazwa katika kambi maalum jirani na hospital ya...
11 years ago
Habarileo01 Apr
Mtoto asababisha fumanizi hospitali
TAFRANI ilizuka usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Mwananyamala, Kinondoni jijini Dar es Salaam, ikihusisha wanandoa baada ya mke aliyekuwa amempeleka mtoto kutibiwa, kumbamba mumewe akimleta anayedaiwa kuwa kimada pia kupata matibabu hospitalini hapo.
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Sili asababisha foleni ndefu Marekani
Wakaazi wa mji wa California walilazimika kutafuta njia mbadala baada ya sili mmoja kukwama barabarani mchana kutwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXr3LUsdMSFKWAVa3rc*Sc4UMOsHIwHn2GdAyzbMpM6HEO7*4PNrJ18KCLmt5sFj3nWbphRPh7FVIxyYp4NCPuvc/OKWI.jpg?width=650)
Okwi asababisha mrembo azimie Taifa
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Na Lucy Mgina
BAO lililofungwa na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi dhidi ya Simba, lilisababisha maafa kwa mrembo baada ya kuzimia. Okwi alifunga bao hilo dakika za mwishoni akiunganisha krosi kwa kichwa kutoka kwa Haruna Niyonzima. Baada ya bao hilo kuingia, ndipo shabiki huyo aliyekuwa amekaa upande wa jukwaa la Yanga nyuma ya goli alianguka ghafla kabla ya kutolewa...
11 years ago
GPL![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74389000/jpg/_74389301_6c01ac29-c610-4600-be86-96b1354ddabb.jpg?width=624)
MCHEZA DENSI ASABABISHA VURUGU BRAZIL
Moto ukiwaka katika Barabara baada ya kuzuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira katika viunga vya mji mkuu Rio de Janeiro. Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira usiku kucha katika mojawapo ya viunga vya mji mkuu Rio de Janeiro. Barabara zimefungwa mjini humo wakati risasi zikisikika kutoka eneo hilo na polisi waking'ang'ana kuwadhibiti wakaazi hao. Polisi wakipambana na wakaazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8bD62HksPhZYbVCwuVMY2DFUsUtuXalfnMHuOVXOe2u67R7MvnInhVZFoVg3L4b29cjhyXuwux7q4UjonlDpskLqKlkKYuq/IMG20140809WA0004.jpg?width=650)
KIBONDE WA CLOUDS FM ASABABISHA AJALI, ATIWA MBARONI LEO
Mtangazani Mahiri wa Redio Clouds FM Ephrahim Kibonde akidhibitiwa na Askari wa Usalama barabarani. Mtangazani Mahiri wa Redio 88.5 Clouds FM kupitia kipindi cha Jahazi, Ephrahim Kibonde akidhibitiwa na Askari wa Usalama barabarani wakati alipotakiwa kutii sheria bila shurti,mapema asubuhi hii jijini Dar es salaam. Kibonde anadaiwa kusababisha ajali asubuhi hii eneo la Makumbusho, ikiwa gari aliyokuwa akiendesha kuigonga gari ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania