Mtoto asababisha fumanizi hospitali
TAFRANI ilizuka usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Mwananyamala, Kinondoni jijini Dar es Salaam, ikihusisha wanandoa baada ya mke aliyekuwa amempeleka mtoto kutibiwa, kumbamba mumewe akimleta anayedaiwa kuwa kimada pia kupata matibabu hospitalini hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Mama Aliyeibiwa Mtoto Hospitali, Afunguka
Asma Juma, mzazi aliyejifungua watoto mapacha na kudai kuibiwa mtoto mmoja katika hospitali ya Temeke, amefunguka kuelezea kilichotokea.
Mzazi huyo anawatuhumu wauguzi wa hospitali hiyo kumuiba mtoto wake huyo akidai, awali wakati alipokuwa na ujauzito picha za Ultrasound alizowahi kupima zilionyesha kuwa ana ujauzito wa mapacha na hata alipokuwa hospitalini hapo alimsikia nesi aliyekuwa akimuhudumia akithibitisha kua ana watoto wawili.
Akiongea na kipindi cha Power Breakfast cha Clouds...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzgKY2P23itWBiem3pUBHRCcZCh6pxNT5Oho-8ehxnrbSw8JUs6Sy6zs0671qNH-ShArvXHaZDbmf1eiS-k3ITYN/a.jpg?width=650)
MTOTO WA FAMILIA YA KIFALME UINGEREZA ATOLEWA HOSPITALI
5 years ago
Bongo514 Feb
Mama aishutumu hospitali ya Temeke kumuibia mtoto
Utata umeibuka baada ya mkazi wa Mbande jijini Dar es Salaam, kuishutumu Hospitali ya Wilaya ya Temeke kumuimbia mtoto mmoja, baada ya kujifungua pacha.
Wakazi wa Kata ya Chamazi mtaa wa Pande, Asma Juma na Mumewe, Amir Pazi wakimfurahia mmoja wa mtoto wao wanayedai alizaliwa mapacha katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke Dar es Salaam, mwezi uliyopita na mmoja kupotea katika mazingira yasiyofahamika.
Mwanamke huyo, Asma Juma alisema kabla ya kwenda kupewa rufaa ya kujifungua katika hospitali...
11 years ago
CloudsFM29 May
YULE MTOTO ALIYEFUNGIWA KWENYE BOKSI MOROGORO HUYU HAPA AKIWA KATIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI
Mtoto aliyekuwa amefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, Nasra Mvungi ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, amehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa uchunguzi zaidi.
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Morogoro, Dk Godfrey Mtei alisema Nasra alipelekwa Muhimbili juzi usiku baada ya hali yake kutoridhisha.
Alisema afya ya Nasra ilibadilika ghafla juzi asubuhi na kushindwa kupumua vizuri, jambo lililowalazimu madaktari kumpeleka Muhimbili kwa gari maalumu la wagonjwa...
10 years ago
Habarileo14 Aug
Mgonjwa asababisha tafrani Shinyanga
WAKAZI wa Manispaa ya Shinyanga, kwa siku mbili mfululizo walikumbwa na kiwewe, baada ya kuenea uvumi kwamba kuna mgonjwa wa mwenye homa hatari ya ebola, aliyefikishwa katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga.
11 years ago
GPL![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74389000/jpg/_74389301_6c01ac29-c610-4600-be86-96b1354ddabb.jpg?width=624)
MCHEZA DENSI ASABABISHA VURUGU BRAZIL
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXr3LUsdMSFKWAVa3rc*Sc4UMOsHIwHn2GdAyzbMpM6HEO7*4PNrJ18KCLmt5sFj3nWbphRPh7FVIxyYp4NCPuvc/OKWI.jpg?width=650)
Okwi asababisha mrembo azimie Taifa