Polisi mashakani kwa kucheza densi India
Mgogoro umeibuka nchini India baada ya polisi mwanamke nchini humo kucheza densi ukumbini na muigizaji maarufu Shah Rukh Khan
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Mijeledi 91 kwa kucheza densi Iran
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Polisi mashakani kwa kumpuuza mwathiriwa
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Sketi yamtia mashakani polisi Kenya
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Polisi wapigwa kalamu kwa ubakaji India
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Kutoka kwa wachezaji densi aina ya Belly hadi wauzaji maua: Mashujaa 6 wanaopambana na janga la corona Afrika
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Kocha mashakani kwa kuwabagua wachezaji
10 years ago
BBCSwahili19 May
Misri mashakani kwa unyanyasaji wa kijinsia
10 years ago
Vijimambo28 Jan
KUKAMATWA KWA PROFESA LIPUMBA: DEMOKRASIA IKO MASHAKANI
wamenijulisha kuwa, Profesa Lipumba na Manaibu Wakurugenzi wawili wa Chama Cha Wananchi CUF (Shaweji Mketo na Abdul Kambaya), pamoja na walinzi wa Profesa Lipumba, wamekamatwa na polisi. Pia, nimeongea na mhe. Joram Bashange, Mkurugenzi wa Fedha wa CUF, tayari yuko Central Police lakini hajaruhusiwa kuwaona viongozi. Mawakili wa CUF wanaelekea polisi pia.
KUMBUKIZI YA MWAKA 2001
Ukamataji huo uliotumia nguvu kubwa...
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi
![](http://4.bp.blogspot.com/-QPs1TCNPQ_s/U7SMT4j_A3I/AAAAAAAA8q4/sZAuSqbdn_o/s1600/IMG_0323.jpg)
Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MC27xq5WgXg/U7SMj-6jXtI/AAAAAAAA8rI/HFjggw3kBL0/s1600/IMG_0331.jpg)
Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...