Polisi wapigwa kalamu kwa ubakaji India
Waziri mkuu wa jimbo kubwa zaidi nchini India la Uttar Pradesh amewafuta kazi polisi wawili kwa kumteka na kumbaka msichana
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Mawaziri wapigwa kalamu Nigeria
Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan, amewafuta kazi mawaziri wanne akiwemo waziri wa usafiri wa angani aliyehusishwa na ufisadi
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
3 wahukumiwa kifo kwa ubakaji India
Wanaume watatu wamehukumiwa kifo Mjini Mumbai, India baada ya kupatikana na hatia katika visa tofauti vya ubakaji
11 years ago
BBCSwahili30 May
India:Ghadhabu kwa ubakaji wa wasichana
Watu nchini India wamekerwa na kitendo cha polisi kumbagua babake mmoja wa wasichana waliobakwa na kuuawa kwa sababu ya tabaka lake.
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Wanaume wanne walioshtakiwa kwa ubakaji na mauaji wanyongwa nchini India
Wanaume wanne raia wa India wameuawa kwa kunyogwa nchini humo baada ya kushtakiwa kwa ubakaji na mauaji ya kinyama kwenye basi huko Delhi mwaka wa 2012
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uOeGD7WUzY0/XlaiadA6QYI/AAAAAAALfnw/z7BS_uxhCqY3F23KHkY-kEFNWdjZn5quwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200226-WA0085-1024x512.jpg)
POLISI MKOANI ARUSHA ASHIKILIWA KWA UBAKAJI
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Katibu wa ccm Tawi la Jamhuri kata ya Daraja mbili jijini Arusha,Aron Sanare Kivuyo anashikiliwa na jeshi la Polisi Jijini hapa kwa kosa la kumbaka na kumpatia ujauzito mwanafunzi wa kituo cha Compassion Mwenye umri wa miaka 15 baada ya kumrubuni kwa fedha na mahitaji mbalimbali aliyokuwa akimpatia.
Aroni Mwenye umri wa miaka 56 mkazi mtaa wa Sanare,Daraja mbili anadaiwa kumpachika ujauzito mwanafunzi huyo baada ya kumrubuni kwa kumpatia fedha na mahitaji mengine...
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
India :Utafiti wafutilia mbali Ubakaji
Utafiti mpya uliofanyika kwa nguo za Wasichana 2 wahasiriwa wa mauaji India wafutilia mbali dhana ya Ubakaji
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Ubakaji:India inamchunguza raia wa Saudi A
Mfanyikazi wa ubalozi wa Saudi Arabia anadaiwa aliwabaka wafanyikazi wawili wa nyumbani raia wa Nepal
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Ubakaji :Makala ya BBC yazuiwa India
Makala ya BBC iliyoandaliwa na Leslee Udwin imezuiwa kuruka nchini India, ikihofiwa kuleta uchochezi nchini India
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Matamshi kuhusu ubakaji yakera India
Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuwa wanawake huchangia kwa wao wenyewe kubakwa yamelaaniwa vikali
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania