Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri wapigwa kalamu Nigeria

Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan, amewafuta kazi mawaziri wanne akiwemo waziri wa usafiri wa angani aliyehusishwa na ufisadi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wapigwa kalamu kwa ubakaji India

Waziri mkuu wa jimbo kubwa zaidi nchini India la Uttar Pradesh amewafuta kazi polisi wawili kwa kumteka na kumbaka msichana

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yampiga kalamu mkufunzi Keshi

Stephen Keshi amepigwa kalamu kama kocha wa timu ya Nigeria The Super Eagles na nafasi yake kuchukuliwa na Shaibu Amodu kulingana na shirikisho la soka nchini Nigeria NFF.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri wapigwa ‘stop’ ziara za JK

Katika kile kinachoonekana kutaka mawaziri washiriki vikao vya kamati za Bunge la Katiba ili kukidhi matakwa ya akidi, Rais Jakaya Kikwete amesema hakuna ulazima wa mawaziri kuambatana naye kwenye ziara zake mikoani, badala yao wawepo makatibu wakuu wa wizara kama wanahitajika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji 5 wapigwa risasi Nigeria

Wachezaji 5 wa kilabu ya Kano Pillars , Nigeria walipigwa risasi na wapiganaji katika shambulizi lillolenga msafara wa kilabu hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri 7 wajiuzulu Nigeria

Mawaziri saba wa serikali nchini Nigeria wamejiuzulu nyadhifa zao katika serikali ya Rais Goodluck Jonathan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Baraza jipya la mawaziri latangazwa Nigeria

Orodha ya mawaziri katika serikali ya rais Muhammadu Buhari iliyosubiriwa kwa hamu sasa imetangazwa na spika wa bunge la seneti la Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yampiga kalamu kocha wake

Mkufunzi Mart Nooij amepigwa kalamu kama kocha wa timu ya taifa ya soka nchini Tanzania baada ya timu hiyo kushindwa 3-0 na Uganda nyumbani katika mechi ya awamu ya kwanza ya kufuzu kwa michuano ya CHAN.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Senegal apigwa kalamu

Waziri mkuu nchini Senegal Aminata Toure ameachishwa kazi baada ya chama tawala kushindwa katika uchaguzi mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani