Tanzania yampiga kalamu kocha wake
Mkufunzi Mart Nooij amepigwa kalamu kama kocha wa timu ya taifa ya soka nchini Tanzania baada ya timu hiyo kushindwa 3-0 na Uganda nyumbani katika mechi ya awamu ya kwanza ya kufuzu kwa michuano ya CHAN.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Crystal Palace yampiga kalamu kocha wake
Neil Warnock amekuwa meneja wa kwanza wa ligi ya Uingereza kupigwa kalamu msimu huu baada ya kufutwa kazi na Crystal Palace.
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Nigeria yampiga kalamu mkufunzi Keshi
Stephen Keshi amepigwa kalamu kama kocha wa timu ya Nigeria The Super Eagles na nafasi yake kuchukuliwa na Shaibu Amodu kulingana na shirikisho la soka nchini Nigeria NFF.
11 years ago
MichuziSIMBA YAMTIMUA KOCHA WAKE
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kocha Kerr ‘alia’ na washambuliaji wake
PAMOJA na kupata ushindi kwenye mechi zote za kirafiki ilizocheza mjini hapa, kocha Mkuu wa Simba, Dlyan Kerr ameendelea ‘kulia’ na safu yake ya ushambuliaji kukosa mabao mengi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VwiSJLEXcZo/VPSOyncsdDI/AAAAAAAHHKk/cZja3Bv-OmY/s72-c/azam3.jpg)
Azam yamfungashia virago kocha wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-VwiSJLEXcZo/VPSOyncsdDI/AAAAAAAHHKk/cZja3Bv-OmY/s1600/azam3.jpg)
Katika taarifa ya uongozi huo waliyotoa jioni jioni hii,uongozi huo haujatoa sababu yoyote ya kuachana na Omong ambaye wamekuwa nae kwa miezi 14.
Hata hivyo habari ambazo Globu ya Jamii imezipata zinasema kuwa uongozi wa Azam umeamua kumtupia virago Omong kutokana na kufanya vibaya kwenye michuano ya Klabu bingwa Afrika...
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Aston Villa yamtimua Kocha wake
Aston Villa imemtimua Kocha wake Paul Lambert baada ya kushindwa kufanya vizuri kwenye michuano ya Ligi kuu England
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
TFF yasitisha mkataba wa kocha wake
Shirikisho la Kabumbu nchini Tanzania TFF limetangaza kuvunja mkataba wake na Kocha mkuu wa Timu ya taifa ya soka
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Kocha wa Azam FC awashukia wachezaji wake
Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog, ametamka kwamba baadhi ya wachezaji wake hawakufuata maelekezo katika zoezi la upigaji wa penalti ambazo ziliwaondoa mashindanoni, huku mshambuliaji wake Kipre Tchetche akikataa kupiga penalti hizo.
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Mo Farah ataka majibu kuhusu kocha wake
Mwanariadha Mo Farah wa Uingereza amekasirishwa na hatua ya kulitia jina lake katika matope na sasa anataka majibu kufuatia madai yanayomuhusisha kocha wake Alberto Salazar na dawa za kusisimua misuli.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania