Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Kerr ‘alia’ na washambuliaji wake

PAMOJA na kupata ushindi kwenye mechi zote za kirafiki ilizocheza mjini hapa, kocha Mkuu wa Simba, Dlyan Kerr ameendelea ‘kulia’ na safu yake ya ushambuliaji kukosa mabao mengi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kerr akerwa na washambuliaji Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesikitishwa na washambuliaji wake ambao walikosa nafasi nyingi za wazi katika mchezo wao wa juzi wa kirafiki dhidi ya Polisi, ambapo Simba ilishinda mabao 2-0.

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr awatwisha mzigo washambuliaji Simba

Simba ilianza kutetea taji la ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Jamhuri ya Pemba juzi, lakini kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr amewataja washambuliaji kuwa ndiyo chanzo cha matokeo ya sare.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Don Bosco: Viungo wa Azam mzigo kwa washambuliaji

Kocha wa klabu ya Ligi Kuu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Don Bosco, Kasongo Ngandu amekichambua kikosi cha Azam na kugundua upungufu au kasoro moja ya msingi.

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Kerr amkingia kifua Kiongera

Dylan Kerr amewataka mashabiki wa timu hiyo kumpa muda mshambuliaji wake, Raphael Kiongera  kutokana na kiwango alichokionyesha katika mechi dhidi ya Toto Africans.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Azam alia na waamuzi

KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwa makini na waamuzi akidai wanaharibu mechi za Ligi Kuu kwa kuzipendelea baadhi ya timu. Hall aliyasema hayo baada ya mchezo dhidi ya Yanga juzi uliomalizika kwa sare ya 1-1.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kocha Newcastle alia na kiwango




KOCHA Mkuu wa Newcastle John Carver, amesema amesikitishwa na kiwango kilichoonyeshwa na timu yake katika mchezo wa Ligi Kuu England.Katika mchezo huo, Newcastle ilipokea kipigo cha mabao 2-1, dhidi ya QPR.Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Carver alisema timu ilipoteza mchezo huo baada ya kucheza chini ya kiwango.Carver alisema timu yake ingeweza kushinda lakini safu ya ulinzi ilimuangusha baada ya kukosa umakini na kuruhusu wapinzani wao kupenya na kupata mabao."Timu yangu ilicheza...

 

9 years ago

StarTV

UONGOZI SIMBA:Wasubiri ripoti ya kocha Kerr kuhusu kambi.

Klabu ya soka ya Simba inasubiri ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo Dylan Kerr ambayo itaeleza wapi timu hiyo itaweka kambi ya mwisho ya kujiandaa na ligi kuu soka Tanzania bara.

Simba imesema ripoti hiyo itaeleza ni mchezaji gani anatakiwa kusajiliwa miongoni mwa wale waliopo klabuni hapo kwa ajili ya majaribio.

Haji Manara ni Afisa Habari wa Simba amesema baada ya kumaliza mchezo wao dhidi ya URA ambao waliutumia kuwapima baadhi ya wachezaji lakini ripoti ya kocha ndiyo itategua kitendawili...

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr awapa somo nyota wake

dylanker-haiphongNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Daylan Kerr, amewapa somo nyota wake kuhakikisha wanapeana maelekezo ya kiufundi wenyewe kwa wenyewe wakiwa dimbani, kwa lengo la kukabiliana na upinzani wa timu yoyote ili timu itoke na ushindi.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema ameamua kufanya mabadiliko kidogo ya ufundishaji, ambapo wachezaji wanaoonyesha kuelewa zaidi mazoezini, watakuwa na jukumu la kuwasaidia wanaoshindwa.

Kerr alisema muda uliobakia kabla ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr atupia zigo la lawama nyota wake

kerrNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amewatupia lawama nyota wake kuwa ndio chanzo cha mwenendo mbaya wa klabu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kauli ya Kerr imekuja siku chache baada ya tetesi za kutumuliwa kwake kuzidi kushika kasi, kutokana na matokeo yasiyoridhisha ambayo yamekuwa yakiiandama timu hiyo katika siku za karibuni.

Simba inashika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu, ikiwa na jumla ya pointi 24, hadi sasa imefanikiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani