Kerr akerwa na washambuliaji Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesikitishwa na washambuliaji wake ambao walikosa nafasi nyingi za wazi katika mchezo wao wa juzi wa kirafiki dhidi ya Polisi, ambapo Simba ilishinda mabao 2-0.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Kerr awatwisha mzigo washambuliaji Simba
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kocha Kerr ‘alia’ na washambuliaji wake
PAMOJA na kupata ushindi kwenye mechi zote za kirafiki ilizocheza mjini hapa, kocha Mkuu wa Simba, Dlyan Kerr ameendelea ‘kulia’ na safu yake ya ushambuliaji kukosa mabao mengi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8S1xo85FTtgb5qwhydpI435epfYreuaxiX8tLd64P-ROwxR7ubSEFg6hKUR2ENBjR36r8RJ02TIpzan8wLRua-L/SIMBA.gif?width=650)
Simba yafuata washambuliaji Brazil, Argentina
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Kerr ataka uvumilivu Simba
NA MWALI IBRHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amewataka wachezaji wake kuwa wavumilivu kutokana na aina ya mazoezi watakayofanya watakapokuwa kambini visiwani Zanzibar kwa lengo la kuwaongezea kasi tofauti na ilivyokuwa katika mechi zilizopita.
Ikiwa kambini Simba inatarajia kucheza mechi mbili za kirafiki kujipima nguvu kabla ya kurejea kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC utakaopigwa Desemba 12, mwaka huu katika Uwanja wa Uwanja wa Taifa...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Kerr: Hakuna Staa Simba
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Kerr afichua siri ya Simba
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Kerr amrithi Goran Simba
9 years ago
Habarileo06 Jan
Wachezaji Simba wamtibua Kerr
KOCHA mkuu wa timu ya Simba Dlyan Kerr amesema hajaridhishwa na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake katika mchezo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Jamhuri juzi uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2.
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Kessy amshitua Kerr Simba