Simba yafuata washambuliaji Brazil, Argentina
![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8S1xo85FTtgb5qwhydpI435epfYreuaxiX8tLd64P-ROwxR7ubSEFg6hKUR2ENBjR36r8RJ02TIpzan8wLRua-L/SIMBA.gif?width=650)
Wachezaji wa timu ya Simba SC. Na Sweetbert Lukonge KUNDI la Friends of Simba limepania kuleta mabadiliko makubwa ndani ya klabu hiyo ili kuhakikisha inafanya vizuri katika michuano ya Ligi Kuu Bara msimu ujao, baada ya kutimkia nchini Brazil na Argentina kutafuta washambuliaji. Uamuzi huo umefikiwa hivi karibuni katika kikao kilichowakutanisha wajumbe wa kundi hilo walipokuwa wakipitia majina ya wachezaji wanaotaka kuwasajili...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLeW*7VDqh8QxF4DS0Cm-5M8uq3uRFCV1zghEfiT5wo90FRS30BGRAV1xrJTHKqUBbmFshepJRt2c57qy1T6*KV/yanga.gif?width=650)
Yanga yafuata kocha Brazil
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Mechi Brazil, Argentina yasubiriwa kwa hamu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iXqS0X6JJkD8ucfmURbbh4qaPFROvXHAC5Iy*uZuQsdG6zPGD9ChxwjtrNy8qJIefsqQ-UFroy10p-L-YC2VMcI/MBELE.jpg)
Simba yafuata straika Senegal
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kerr akerwa na washambuliaji Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesikitishwa na washambuliaji wake ambao walikosa nafasi nyingi za wazi katika mchezo wao wa juzi wa kirafiki dhidi ya Polisi, ambapo Simba ilishinda mabao 2-0.
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Kerr awatwisha mzigo washambuliaji Simba
11 years ago
Mwananchi10 Jul
BRAZIL 2014: Ni Argentina na Ujerumani fainali
9 years ago
Bongo514 Nov
Mvua yasababisha kuahirishwa mchezo wa Brazil na Argentina
![Argentina Brazil WCup Soccer](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E648AD200000578-0-image-a-240_1447372952065-300x194.jpg)
Mechi ya kuwania kufuzu kombe la dunia kati ya Brazil na Argentina imeahirishwa sababu ya mvua nyingi kunyesha.
Mchezo huo iliokuwa uchezwe usiku wa Alhamisi katika uwanja wa Estadio Antonio Vespucio Libert, mjini Buenos Aires sasa utachezwa Ijumaa usiku.
Sehemu ya kuchezea ya uwanja huo ilijaa maji na mashabiki wa soka pamoja na maafisa wa timu ya Brazil walikwama njiani kwenye foleni sababu ya mvua kubwa iliyonyesha.
Kocha msaidizi wa Brazil Gilmar Rinaldi, alisema “tulikutana na maafisa...
11 years ago
TheCitizen11 Jul
BRAZIL 2014: Germany favourites, but Argentina have firepower
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Aguero fiti kuiimarisha Argentina