Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yafuata straika Senegal

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe. Hans Mloli,Dar es Salaam
SIMBA wanajua kuwa wakifanya mchezo katika nafasi ya straika, basi msimu ujao watafulia zaidi.
Ili kuonyesha hawataki utani wameamua kusaka straika wa uhakika katika nchi tano ikiwemo Senegal pamoja Ghana kwa upande wa Afrika Magharibi. Pamoja na nchi hizo mbili, Simba wataendelea kusaka mshambuliaji mkali katika nchi za Burundi, Kenya na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Simba yafuata washambuliaji Brazil, Argentina

Wachezaji wa timu ya Simba SC. Na Sweetbert Lukonge
KUNDI la Friends of Simba limepania kuleta mabadiliko makubwa ndani ya klabu hiyo ili kuhakikisha inafanya vizuri katika michuano ya Ligi Kuu Bara msimu ujao, baada ya kutimkia nchini Brazil na Argentina kutafuta washambuliaji. Uamuzi huo umefikiwa hivi karibuni katika kikao kilichowakutanisha wajumbe wa kundi hilo walipokuwa wakipitia majina ya wachezaji wanaotaka kuwasajili...

 

11 years ago

GPL

TP Mazembe yaipa Simba straika

Mshambuliaji nyota wa timu ya taifa ya Botswana, Jerome Ramatlhakwane. Na Mwandishi Wetu
SIMBA iko katika hatua za mwisho kumtwaa mshambuliaji nyota wa timu ya taifa ya Botswana, Jerome Ramatlhakwane ambaye ni mali ya TP Mazembe ya DR Congo. TP Mazembe imekubali kumtoa Ramatlhakwane, maarufu kama Rama kwa Simba kwa mkopo katika kipindi cha msimu mmoja… ...

 

11 years ago

GPL

Milioni 42 zakamilisha usajili wa straika Simba

Na Nicodemus Jonas
TIMU ya Simba imeonesha jeuri ya fedha na kuuhakikishia umma kuwa haitaki mzaha msimu ujao, baada ya kumwaga kitita cha Sh milioni 42 kumnyakua straika wa Mbeya City, Saady Kipanga. Habari za kina kutoka kwa rafiki wa nyota huyo zinadai kuwa, Simba imempatia kitita cha Sh milioni 30 ‘keshi’, kama njia ya kumshawishi pamoja na kumuahidi mshahara wa Sh milioni moja kwa mwezi.
Mshahara huo...

 

11 years ago

GPL

Straika atua Simba kwa ndege

Kikosi cha timu ya Mbeya City. Martha Mboma na Nicodemus Jonas
KUONYESHA kuwa inajipanga kwa ajili ya kufanya kweli msimu ujao, Simba imeanza michakato ya usajili kwa nguvu zote ambapo imeamua kulipa nauli ya ndege kwa mshambuliaji wa Mbeya City, Saady Kipanga ikiwa ni sehemu ya kumshawishi atue klabuni hapo. Kipanga ambaye alionyesha kiwango kizuri msimu uliomalizika hivi karibuni kwenye kikosi cha Mbeya City, amekuwa...

 

11 years ago

GPL

Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba

Mshambuliaji aliyetokea kukonga mioyo ya mashabiki wa Simba kwa kufumania nyavu, Betram Mwombeki(kushoto). Na Hans Mloli
STRAIKA wa Simba, Betram Mwombeki, amesema kwamba yupo tayari kuvunja mkataba na klabu hiyo endapo ataendelea kusota benchi na kukosa amani kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Mwombeki aliyesajiliwa na Simba iliyokuwa chini ya Abdallah Kibadeni msimu uliopita, alikuwa shujaa wa timu hiyo kwenye mechi kadhaa...

 

11 years ago

GPL

Simba yamzuia straika ligi kuu kusaini mkataba

Na Lucy Mgina
STRAIKA wa Tanzania Prisons, Six Ally Mwakasega, ambaye ni mmoja wa nyota wanaotakiwa na Klabu ya Simba, amesema yupo tayari kujiunga na vijana hao wa Msimbazi iwapo tu watampa maslahi mazuri.
Six alijiunga na Prisons msimu uliopita akitokea Majimaji ya Songea ambayo ipo Ligi Daraja la Kwanza.
Akizungumza na Championi Jumatano, Six ambaye amemaliza mkataba na kikosi cha Prisons, alisema amesitisha zoezi la...

 

9 years ago

Mwananchi

Wawili Simba ‘wauzwa’ Senegal

Washambuliaji wawili raia wa Senegal walioshindwa majaribio kwenye klabu ya Simba, Papa Niang na Pape N’daw wamewataja Awadh Juma na Simon Sserunkuma kuwa ni wachezaji tishio.

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota Senegal kutua Simba

Simba iko mbioni kumsajili mshambuliaji mpya raia wa Senegal, Papa Niang anayetarajiwa kutua nchini leo.

 

11 years ago

GPL

Yanga yafuata kocha Brazil

Aliekuwa kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Ezekiel Kitula
MAKOCHA kutoka nchi mbili za Brazil na Uholanzi ndiyo wenye nafasi ya kuifundisha Yanga msimu ujao.
Habari za uhakika kutoka Yanga zinaeleza, Yanga inataka kupata kocha Mholanzi ili kuendeleza utamaduni wa Kiholanzi baada ya kufundishwa na Ernie Brandts na Hans van der Pluijm. Lakini kama mambo hayataenda vizuri itaangalia nchi nyingine na Brazil ndiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani