Simba yafuata straika Senegal

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe. Hans Mloli,Dar es Salaam SIMBA wanajua kuwa wakifanya mchezo katika nafasi ya straika, basi msimu ujao watafulia zaidi. Ili kuonyesha hawataki utani wameamua kusaka straika wa uhakika katika nchi tano ikiwemo Senegal pamoja Ghana kwa upande wa Afrika Magharibi. Pamoja na nchi hizo mbili, Simba wataendelea kusaka mshambuliaji mkali katika nchi za Burundi, Kenya na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Simba yafuata washambuliaji Brazil, Argentina
11 years ago
GPL
TP Mazembe yaipa Simba straika
11 years ago
GPL
Milioni 42 zakamilisha usajili wa straika Simba
11 years ago
GPL
Straika atua Simba kwa ndege
11 years ago
GPL
Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba
11 years ago
GPL
Simba yamzuia straika ligi kuu kusaini mkataba
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Wawili Simba ‘wauzwa’ Senegal
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Nyota Senegal kutua Simba
11 years ago
GPL
Yanga yafuata kocha Brazil